Loliondo Land Grabbing: History of Pain and Bitterness in an Unaccountable State
The land dispute in Loliondo is like a simmering pot of soup left on the stove for decades.
The land dispute in Loliondo is like a simmering pot of soup left on the stove for decades.
Mwakinyo amepewa adhabu hiyo baada kugomea kupanda ulingoni September 29, 2023 katika pambano lake dhidi ya Julius Indonga kutokea Namibia kwa madai ya Promota kukiuka baadhi ya makubaliano yao..
Chama cha Demokrasia na Mendeleo CHADEMA, kimesema kimepokea barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania ikiwataka wajieleze kuhusu kutengeneza maudhui yanayotajwa kuwa yanamdhalilisha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassani.
Kwa bei zilizotangazwa kuanza kutumika leo, gharama ya lita moja kwa mafuta yaliyopakuliwa Dar es Salaam ni shilingi 3,281/lita ya petroli, shilingi 3,448/lita ya Dizeli na shilingi 2,943/lita ya mafuta ya taa. Kwa mafuta yaliyopakuliwa Tanga, bei ya lita ya petroli ni shilingi 3,327/lita, bei ya dizeli ni shilingi 3,494/lita na mafuta ya taa ni shilingi 2,989 kwa lita.
Serikali ya Tanzania imetumia shilingi bilioni 1.23 kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 804 waliosaini mikataba ya fidia na kulipwa ili kupisha mradi wa Bomba la Mafuta ghafi wa Afrika Mashariki kwa Mkoa wa Dodoma.
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempa miezi sita Mkurugenzi mpya wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kukomesha mgao wa umeme unaoendelea kuathiri shughuli za kijamii na kiuchumi nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu akizungumza baada ya matokeo hayo kutangazwa na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbarali ambapo alimtangaza ndugu Bahati Keneth Ndingo kwa kura 44334 dhidi ya kura 10014 za Modestus Kirufi wa ACT Wazalendo.
Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini Tanzania Sifa Boniventure(25) na Producer wake Ezekia George wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayowakabili.
Kwa mujibu wa taarifa ya NEC iliyotolewa leo ni kwamba uchaguzi wa jimbo hilo la Mbarali unakwenda sambamba na mchakato wa kata sita za Tanzania Bara ambao utahusisha vituo 580 vya kupigia kura.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael kuwahimiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa huo kuwalipa watumishi wa Afya stahiki zao kwa wakati.