Mwandishi nguri wa habari nchini Tanzania Leila Sheikh kuzikwa leo jijini Tanga
Leila ambaye atazikwa leo katika makaburi ya Sharif Haidari na swala itafanyika katika msikiti mkuu wa Ijumaa jijini Tanga.aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji na miongoni mwa waanzilishi wa Chama cha Waandishi Habari Wanawake Tanzania, TAMWA, kuanzia mwaka 1996 hadi 2001.