Mbowe, Lissu, Mnyika kuelekea Italia kwa ziara ya kikazi
Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema imeeleza kuwa katika safari hiyo, Mbowe ameambatana na viongozi wengine wawili wa chama hicho, ambao ni Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu na Katibu Mkuu, John Mnyika.