• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mbowe, Lissu, Mnyika kuelekea Italia kwa ziara ya kikazi
Africa East Africa

Mbowe, Lissu, Mnyika kuelekea Italia kwa ziara ya kikazi

Asia GambaJune 5, 2023June 5, 2023

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema imeeleza kuwa katika safari hiyo, Mbowe ameambatana na viongozi wengine wawili wa chama hicho, ambao ni Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu na Katibu Mkuu, John Mnyika.

Al-Shabaab waliwaua wanajeshi 54 wa Uganda nchini Somalia, anasema Museveni
Africa East Africa People Politics

Al-Shabaab waliwaua wanajeshi 54 wa Uganda nchini Somalia, anasema Museveni

Joy CheptooJune 5, 2023June 5, 2023

Kundi hilo lenye silaha lilidai kuwa lilifanya mashambulizi ya bomu la kujitoa mhanga mnamo Mei 26 na kuua wanajeshi 137

Tanzania declares end of deadly Marburg virus outbreak: WHO
East Africa Lifestyle & Health People

Tanzania declares end of deadly Marburg virus outbreak: WHO

Mwanzo EditorJune 2, 2023June 2, 2023

The last confirmed case tested negative on April 19, setting off the 42-day mandatory countdown to declare the end of the outbreak

SERIKALI:Hakuna Marburg Tanzania
Africa East Africa

SERIKALI:Hakuna Marburg Tanzania

Asia GambaJune 2, 2023June 2, 2023

Katika kilele cha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Marburg nchini Tanzania serikali ya nchi hiyo kupitia mganga mkuu wa serikali imesema mpaka kufikia mei 31 imekuwa na jumla ya wagonjwa 9 tu.

TUME:Hakuna uhusiano wa kifo cha Nusura na ajali ya Naibu Waziri 
Africa East Africa

TUME:Hakuna uhusiano wa kifo cha Nusura na ajali ya Naibu Waziri 

Asia GambaJune 2, 2023June 2, 2023

Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu ametoa taarifa hiyo leo ambapo  amesema walitembelea mikoa ya Dodoma, Singida na Kilimanjaro na kwamba matokeo yanaonyesha kuwa kifo cha Nusura kilisababishwa na shambulio kali la kupanda kwa sukari na upungufu wa damu.

42nd Meeting of the Sectoral Council on Trade, Industry, Finance and Investment underway in Tanzania
East Africa

42nd Meeting of the Sectoral Council on Trade, Industry, Finance and Investment underway in Tanzania

Joy CheptooJune 2, 2023June 2, 2023

The 42nd Meeting of the Sectoral Council of Ministers on Trade, Industry, Finance and Investment (SCTIFI) is currently underway at the…

Rais Samia kupokea ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 737-300F
Africa East Africa

Rais Samia kupokea ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 737-300F

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Rais Samia Suluhu anatarajiwa kuipokea ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 737 – 300F itakayowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) siku ya Jumamosi Juni 3, 2023.

Serikali ya Zanzibar yatangaza rasmi umiliki wa Shamba la Razaba huko Bagamoyo, yatoa onyo kwa wenye kutaka kujimilikisha
Africa East Africa

Serikali ya Zanzibar yatangaza rasmi umiliki wa Shamba la Razaba huko Bagamoyo, yatoa onyo kwa wenye kutaka kujimilikisha

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Taarifa iliyotolewa na  serikali ya Zanzibar, kupitia kwa msemaji wake, Charles Hilary, imeeleza kuwa shamba hilo ni mali ya serikali na haitambui mtu yoyote aliyemilikishwa; au kujimilikisha eneo hilo.

Majaliwa awataka Watanzania kuiombea Yanga irudi na ushindi
Africa Sports

Majaliwa awataka Watanzania kuiombea Yanga irudi na ushindi

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Akizungumza leo bungeni Jijini Dodoma Majaliwa amesema ni wakati wa Watanzania wote kuungana ili kuandika historia kwa pamoja na hana shaka na uwezo wa Yanga, na anaamini timu hiyo itaipeperusha vyema bendera ya Tanzania 

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku
Africa East Africa

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Ikiwa leo ni siku ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani shirika la Umoja wa Mataifa  la afya duniani WHO, limezitaka nchi kuacha kutoa ruzuku kwa kilimo cha tumbaku na badala yake kuunga mkono na kusaidia kilimo cha mazao endelevu yatakayoweza kulisha mamilioni ya watu wenye uhitaji wa chakula.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo