‘Mbakaji wa Facebook’ Thabo Bester afikishwa katika mahakama ya Afrika Kusini
Bester na wenzake walikamatwa nchini Tanzania wakiwa na hati kadhaa za kusafiria.
Bester na wenzake walikamatwa nchini Tanzania wakiwa na hati kadhaa za kusafiria.
Thabo Bester, aliyepatikana na hatia ya ubakaji na mauaji, alitoroka kutoka gereza la kibinafsi huko Bloemfontein Mei mwaka jana
Bester had been arrested by Tanzanian authorities on Friday night along with a woman, a Mozambican national with whom he is reportedly romantically involved