Nairobi yatajwa miongoni mwa maeneo 50 bora zaidi Duniani kwa mwaka 2022 na Jarida la Time
Mji mkuu wa Kenya Nairobi umetajwa katika orodha ya World’s Greatest Places 2022 iliyotolewa na Jarida la Time.
Mji mkuu wa Kenya Nairobi umetajwa katika orodha ya World’s Greatest Places 2022 iliyotolewa na Jarida la Time.