Kenya: Naibu Rais William Ruto ndiye mgombea urais anayependwa zaidi, kulingana na matokeo ya kura ya maoni
Utafiti huo pia ulifichua kuwa wengi wa wafuasi wa Naibu Rais Ruto ni vijana wenye umri wa miaka 18-35, huku Odinga akiungwa mkono na wazee.
Utafiti huo pia ulifichua kuwa wengi wa wafuasi wa Naibu Rais Ruto ni vijana wenye umri wa miaka 18-35, huku Odinga akiungwa mkono na wazee.