• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Uganda

Uganda yaondoa kizuizi katika kitovu cha Ebola
East Africa Lifestyle & Health

Uganda yaondoa kizuizi katika kitovu cha Ebola

Joy CheptooDecember 19, 2022December 19, 2022

Wilaya mbili za kati katikati mwa mlipuko huo, Mubende na Kassanda, ziliwekwa chini ya kizuizi na Rais Yoweri Museveni mnamo Oktoba 15

Mahakama yatoa wito wa jinai dhidi ya Kizza Besigye  
East Africa People Politics

Mahakama yatoa wito wa jinai dhidi ya Kizza Besigye  

Joy CheptooDecember 15, 2022December 15, 2022

Hii ilikuwa baada ya Dkt Besigye kukosa kufika kortini mnamo Desemba 14

Timu ya soka ya Uganda yajiondoa kwenye michuano ya CHAN
East Africa Football Sports

Timu ya soka ya Uganda yajiondoa kwenye michuano ya CHAN

Joy CheptooDecember 14, 2022December 14, 2022

Timu ya taifa ya kandanda ya Uganda, Cranes, imejiondoa katika michuano ya Mataifa ya Afrika kutokana na ukosefu wa fedha

Uganda yakamata boti 8 za wavuvi wa Kenya katika Ziwa Victoria
East Africa

Uganda yakamata boti 8 za wavuvi wa Kenya katika Ziwa Victoria

Joy CheptooDecember 1, 2022December 1, 2022

Maafisa wa usalama wa Uganda wamezuilia boti nane za wavuvi, ambazo wamiliki wake raia wa Kenya walituhumiwa kwa kuingia katika Ziwa Victoria

Museveni aahidi kusaidia ufugaji wa samaki
Business / Finance East Africa People

Museveni aahidi kusaidia ufugaji wa samaki

Joy CheptooNovember 29, 2022November 29, 2022

Rais alisema sekta ndogo ya uvuvi inachangia asilimia nne kwenye Pato la Taifa (GDP) na ni ya pili kwa mauzo ya nje ya Uganda baada ya kahawa

Uganda to deploy 1,000 troops to DR Congo to fight rebels
Africa East Africa

Uganda to deploy 1,000 troops to DR Congo to fight rebels

Mwanzo EditorNovember 22, 2022November 22, 2022

Uganda will deploy around 1,000 soldiers in eastern Democratic Republic of Congo by the end of November under a regional force against M23 rebels

Polisi wamkamata mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Makerere anayedaiwa kumpiga mwanafunzi kofi
Africa East Africa

Polisi wamkamata mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Makerere anayedaiwa kumpiga mwanafunzi kofi

Joy CheptooNovember 22, 2022November 22, 2022

Polisi mjini Kampala wamemkamata mhadhiri wa chuo kikuu cha Makerere Bernard Wandera kwa tuhuma za kumpiga mwanafunzi kofi

Atwoli Amechaguliwa Makamu wa Rais wa ITUC kwa Awamu ya Nne
International

Atwoli Amechaguliwa Makamu wa Rais wa ITUC kwa Awamu ya Nne

Victor WanaswaNovember 21, 2022November 21, 2022

Uteuzi wa Atwoli uliidhinishwa kwa kauli moja na zaidi ya wajumbe 2000 na kufungua njia kwa muhula wake wa miaka mine katika ITUC, ambayo ina makao yake makuu mjini Brussels, Ubelgiji.

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki
East Africa Politics

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Winnie Odinga, Binti mdogo wa Raila Odinga akiibuka wa pili kwa kura 247, jambo ambalo linamfungulia njia ya kuwakilisha taifa la Kenya kwa muhula wa miaka mitano katika bunge la EALA lililoko mjini Arusha.

Kizza Besigye: Uongozi sharti urejeshwe kwa wananchi wa Uganda
East Africa Politics

Kizza Besigye: Uongozi sharti urejeshwe kwa wananchi wa Uganda

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Besigye anasisitiza kwamba uongozi Uganda unatekelezwa kupitia jeshi ambalo alibaini kuwa linawafahamisha raia kuhusu mfalme wa kifalme anayekuja.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo