• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: UPDF

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31
Africa East Africa Features Politics

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Uganda ilijiunga na vikosi vya Congo mnamo Novemba 30 katika vita dhidi ya Allied Democratic Forces (ADF), inayotuhumiwa kwa mauaji mashariki mwa DR Congo na milipuko ya mabomu nchini Uganda.

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Licha ya kukabiliwa na jeshi la nchi hiyo — na usaidizi kutoka kwa vikosi vya Uganda, vilivyoanza kukabiliana na waasi mwishoni mwa Novemba – mashambulizi ya ADF yameendelea.

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya waasi mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya waasi mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Mashambulizi hayo yalifanyika karibu na mpaka wa majimbo ya Ituri na Kivu Kaskazini

Mwanawe Rais Museveni atangaza kustaafu katika jeshi la Uganda
East Africa Features People Politics

Mwanawe Rais Museveni atangaza kustaafu katika jeshi la Uganda

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Ingawa Kainerugaba amekanusha mara kwa mara madai kwamba ana nia ya kumrithi babake waangalizi wanaashiria kupanda kwake haraka kupitia safu ya jeshi la Uganda kama thibitisho kwamba alikuwa akiandaliwa kwa ajili ya kazi hiyo ya urais..

Mahakama ya Umoja wa Mataifa yaamuru Uganda kuilipa DR Congo fidia ya $325M kwa uharibifu wa kivita
Africa East Africa Features Politics

Mahakama ya Umoja wa Mataifa yaamuru Uganda kuilipa DR Congo fidia ya $325M kwa uharibifu wa kivita

Maureen MedzaFebruary 10, 2022February 11, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ilitaka kulipwa fidia ya dola bilioni 11 kutokana na mzozo huo uliodumu kutoka 1998 hadi 2003.

Wanajeshi wa Uganda na wa DR Congo washirikiana kukabiliana na waasi wa ADF
Africa East Africa Politics

Wanajeshi wa Uganda na wa DR Congo washirikiana kukabiliana na waasi wa ADF

Maureen MedzaDecember 1, 2021December 1, 2021

Rais wa Congo Felix Tshisekedi ameidhinisha wanajeshi wa Uganda kuingia DR Congo kusaidia kupambana na kundi la waasi la ADF

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo