Nigeria: Wajumbe wa chama tawala wapiga kura kumchagua mgombeaji wa uchaguzi wa urais wa 2023
Zaidi ya wajumbe 2,300 wa APC walipiga kura kumchagua mgombea atakayekabiliana na Atiku Abubakar wa chama cha upinzani cha Peoples Democratic Party (PDP) katika kura ya urais ya Februari 25 2023