Kenya: Sonko awasilisha kesi katika mahakama ya EAC kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu
Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha rufaa katika Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu zaidi
Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha rufaa katika Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu zaidi
Utafiti huo pia ulifichua kuwa wengi wa wafuasi wa Naibu Rais Ruto ni vijana wenye umri wa miaka 18-35, huku Odinga akiungwa mkono na wazee.