Argentina beat France on penalties to win World Cup
Argentina defeated France 4-2 in a penalty shoot-out to win the World Cup for the third time on Sunday
Argentina defeated France 4-2 in a penalty shoot-out to win the World Cup for the third time on Sunday
Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.
Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.