Senegal: Upinzani wasitisha maandamano yaliyopangwa
Mvutano umekuwa ukiongezeka katika nchi hiyo kabla ya upigaji kura wa wabunge wa Julai 31, unaoonekana kuwa uchaguzi muhimu kwa Rais Macky Sall.
Mvutano umekuwa ukiongezeka katika nchi hiyo kabla ya upigaji kura wa wabunge wa Julai 31, unaoonekana kuwa uchaguzi muhimu kwa Rais Macky Sall.
Polisi wa Senegal waliziba njia ya kuelekea nyumbani kwake kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko baada yake kuitisha maandamano siku ya Ijumaa, wakati nchi hiyo ikiwa katika mvutano wa kabla ya uchaguzi.