• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 5, 2022

Masauni: Mahitaji ya vituo vya polisi ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali.
Africa East Africa

Masauni: Mahitaji ya vituo vya polisi ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali.

Asia GambaApril 5, 2022April 5, 2022

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzania, Hamad Masauni, amewaomba wabunge, wananchi na wadau kushirikiana katika ujenzi wa vituo vya polisi kwa kuwa ina uhitaji wa vituo vya polisi daraja B, 470

Watu 17 wanakabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuua kwa kushambulia helikopta ya Raila Odinga
East Africa Features Politics

Watu 17 wanakabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuua kwa kushambulia helikopta ya Raila Odinga

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Watu hao17 wanahusishwa na kisa cha machafuko ambapo helikopta iliyokuwa imembeba Odinga ilipigwa mawe

Nigeria: Zaidi ya watu 150 bado hawajulikani walipo baada ya shambulio la treni
Africa Features

Nigeria: Zaidi ya watu 150 bado hawajulikani walipo baada ya shambulio la treni

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Baadhi ya abiria walitekwa nyara na walionusurika walisema watu wenye silaha wamewanyakua abiria kadhaa, lakini haijabainika ni wangapi.

Elon Musk ananunua hisa za Twitter, na kufanya bei ya hisa kuongezeka
Features International People

Elon Musk ananunua hisa za Twitter, na kufanya bei ya hisa kuongezeka

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Kwa sasa Elon Musk ndiye mtu tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 287.6, kulingana na Forbes.

Mahakama yaidhinisha kifungo cha miaka 25 kwa shujaa wa ‘Hotel Rwanda’
Africa East Africa Features People Politics

Mahakama yaidhinisha kifungo cha miaka 25 kwa shujaa wa ‘Hotel Rwanda’

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Mahakama ya Rufaa ya Rwanda Jumatatu ilipitisha hukumu ya kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya shujaa wa ‘Hotel Rwanda’ Paul Rusesabagina.

Ajali nyingine ya treni nchini DR Congo yaua takriban watu saba
Africa East Africa Features

Ajali nyingine ya treni nchini DR Congo yaua takriban watu saba

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Hakuna treni za abiria za kutosha na barabara chache zinazoweza kutumiwa, kwa hivyo watu wanaohitaji kusafiri umbali mrefu mara nyingi husafiri kwa treni ya mizigo.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo