• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 22, 2022

Urusi yawawekea marufuku ya kusafiri Kamala Harris na Zuckerberg
Features International People Politics

Urusi yawawekea marufuku ya kusafiri Kamala Harris na Zuckerberg

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Urusi ilipiga marufuku ya kusafiri kwa Makamu wa Rais wa Amerika Kamala Harris, mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg na makumi ya Wamarekani mashuhuri na Wacanada kulipiza kisasi kwa vikwazo vilivyowekwa juu ya uvamazi wao nchini Ukraine.

#Kenya: Rais mstaafu Mwai Kibaki aaga dunia
East Africa Features People Politics

#Kenya: Rais mstaafu Mwai Kibaki aaga dunia

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Rais wa zamani wa Kenya Mwai Kibaki, ambaye aliongoza Kenya kwa zaidi ya muongo mmoja amefariki dunia,

Meneja wa mgodi mwenye asili ya China ahukumiwa kifungo Rwanda kwa kumnyanyasa mwajiriwa
Africa East Africa Features

Meneja wa mgodi mwenye asili ya China ahukumiwa kifungo Rwanda kwa kumnyanyasa mwajiriwa

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Raia wa China amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa kuwatesa wafanyakazi wa mgodi nchini Rwanda

Zaidi ya watoto milioni moja wa Kiafrika wapata chanjo ya kwanza ya malaria
Africa Features Lifestyle & Health

Zaidi ya watoto milioni moja wa Kiafrika wapata chanjo ya kwanza ya malaria

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Takriban asilimia 90 ya visa vya malaria duniani vimerekodiwa barani Afrika, ambapo watoto 260,000 hufa kutokana na ugonjwa huo kila mwaka.

Kenya kuandaa mazungumzo kati ya DR Congo na waasi
Africa East Africa Features Politics

Kenya kuandaa mazungumzo kati ya DR Congo na waasi

Maureen MedzaApril 22, 2022April 22, 2022

Ofisi ya rais wa Kenya ilisema Alhamisi kwamba viongozi hao walikuwa wakitafuta kuanzisha kikosi cha kikanda ili kukomesha makundi ya waasi wanaoendesha shughuli zao katika eneo hilo.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo