• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 11, 2022

Mbowe aionya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa Tanzania
Africa East Africa

Mbowe aionya ofisi ya msajili wa vyama vya siasa Tanzania

Asia GambaMay 11, 2022May 11, 2022

Mwanasiasa mwiba wa siasa za upinzani nchini Tanzania, ameyasema hayo leo wakati akihutubia Baraza Kuu la Chadema, lililowakutanisha wajumbe takribani 400 jijini Dar es salaam.

Papa Francis ahimiza utulivu nchini Sri Lanka
Asia Features International Politics

Papa Francis ahimiza utulivu nchini Sri Lanka

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Polisi wanasema watu wanane wamefariki tangu Jumatatu, baada ya maandamano na machafuko kuzuka kupinga kudorora kwa uchumi.

Burkina Faso imemuamuru Blaise Compaore kulipa fidia kutokana na mauaji ya Thomas Sankara
Africa Features People Politics

Burkina Faso imemuamuru Blaise Compaore kulipa fidia kutokana na mauaji ya Thomas Sankara

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Mnamo Aprili 6, Compaore, Kafando na Diendere walihukumiwa kifungo cha maisha kwa kupanga mauaji hayo, huku wengine wakifungwa miaka mitatu hadi 20 jela.

Somalia yasajili wagombea 39 kwa kura za urais
Africa Features People Politics

Somalia yasajili wagombea 39 kwa kura za urais

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Uchaguzi huo umecheleweshwa kwa mwaka mmoja na umekumbwa na ghasia mbaya na mzozo wa kuwania madaraka kati ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed, na Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo