• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 19, 2022

Dk.Stergomena:Lengo la mafunzo ya JKT kwa vijana si kuwaajiri bali kuwapatia stadi za maisha
Africa East Africa

Dk.Stergomena:Lengo la mafunzo ya JKT kwa vijana si kuwaajiri bali kuwapatia stadi za maisha

Asia GambaMay 19, 2022May 19, 2022

Dk. Stergomena ameyasema hayo leo wakati akiwasilisha bajeti ya Wizara hiyo leo ambapo amebainisha kuwa dhumuni la mafunzo yanayotolewa kwa vijana ni kuwapatia stadi za kazi na stadi za maisha, ili baada ya kumaliza muda wa mafunzo na kutumikia JKT, waweze kurejea kwao wakiwa raia wema, wenye uwezo wa kujitegemea na kulilinda Taifa.

Watu 28 wauawa Sudan Kusini wakati wa majaribio ya uvamizi wa mifugo
Africa Features Politics

Watu 28 wauawa Sudan Kusini wakati wa majaribio ya uvamizi wa mifugo

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Nchi hiyo yenye watu milioni 11 imejitahidi kudumisha amani  katika miaka ya hivi karibuni tangu mikataba ya amani ya 2018.

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31
Africa East Africa Features Politics

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Uganda ilijiunga na vikosi vya Congo mnamo Novemba 30 katika vita dhidi ya Allied Democratic Forces (ADF), inayotuhumiwa kwa mauaji mashariki mwa DR Congo na milipuko ya mabomu nchini Uganda.

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga
Entertainment Features People Politics

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais
East Africa Features Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo