• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 1, 2022

Watoto 12,131,049 wapatiwa chanjo ya Polio nchini Tanzania.
Africa East Africa

Watoto 12,131,049 wapatiwa chanjo ya Polio nchini Tanzania.

Asia GambaJune 1, 2022June 1, 2022

Waziri wa Afya nchini humo ,Ummy Mwalimu amesema Mei 18 , 2022, Wizara ya Afya ilizindua awamu ya pili ya kampeni ya kitaifa ya utoaji wa chanjo ya matone dhidi ya ugonjwa wa Polio hapa nchini.

Asilimia 51 ya bajeti ya Wizara ya Nishati kutumika kwenye mradi wa JNHPP
Africa

Asilimia 51 ya bajeti ya Wizara ya Nishati kutumika kwenye mradi wa JNHPP

Asia GambaJune 1, 2022June 1, 2022

Mradi huo unaotarajiwa kuchangia MW 2,115 katika Gridi ya Taifa baada ya kukamilika, unagharimu shilingi trilioni 6.55 na unatarajiwa kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika nchini.

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia  wakenya katika sherehe za madaraka
East Africa Features People Politics

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia wakenya katika sherehe za madaraka

Maureen MedzaJune 1, 2022June 1, 2022

Uhuru, ambaye pia ni mlezi katika Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya amemtaja Raila kama mtu bora zaidi kumrithi, kwa kile naibu wake Ruto amekitaja kuwa usaliti.

Sabaya amwaga chozi Mahakamani, asema hana imani na Mwendesha mashtaka
Africa East Africa

Sabaya amwaga chozi Mahakamani, asema hana imani na Mwendesha mashtaka

Asia GambaJune 1, 2022June 1, 2022

Kwa upande wake Sabaya aliyeomba kuongea licha ya Hakimu kueleza kuwa maombi yake hayata zingatiwa kwa sasa alieleza mahakamani hapo kuwa hana imani na Mwendesha mashtaka wa serikali Tumaini Kweka.

Waziri Mkuu wa Tanzania azitaka Halmashauri kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato.
Africa East Africa

Waziri Mkuu wa Tanzania azitaka Halmashauri kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato.

Asia GambaJune 1, 2022June 1, 2022

Majaliwa amesema ajenda ya ukusanyaji mapato iwe ya kudumu na iongezeke hadi kufikia shilingi trilioni 2 kutoka makadirio ya sasa mwaka wa fedha 2022/2023.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo