• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 7, 2022

Masauni:Nchi iko salama haina tishio la kiuslama, Lema na Lissu hawana sababu ya kutorejea Tanzania
Africa East Africa

Masauni:Nchi iko salama haina tishio la kiuslama, Lema na Lissu hawana sababu ya kutorejea Tanzania

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ametengeneza mazingira mazuri ya kisiasa na kuifanya nchi kuwa usalama, hivyo hakuna sababu za viongozi wa kisiasa ikiwemo wa chama cha Chadema, walioko uhamishoni kutorejea Tanzania.

Amuua mkewe kisha akimbia kusikojulikana
Africa East Africa

Amuua mkewe kisha akimbia kusikojulikana

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Jumanne Muriro amesema tukio hilo lilitokea Juni 6, 2022 ambapo marehemu alikuwa anauza pombe ya kienyeji ndipo walianza ugomvi ukaanza kati ya wawili hao.

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9
Features People Politics

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Wagombea wanne wameidhinishwa kushiriki kinyang’anyiro cha kuwa rais wa Kenya, akiwemo naibu wa rais wa sasa William Ruto na Raila Odinga.

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume
Asia Features Middle East People Politics

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Indonesia imemuita mjumbe wa India mjini Jakarta kuhusu matamshi ‘ya dharau’ yaliyotolewa kuhusu Mtume Muhammad na maafisa wawili wa chama tawala cha India

Ndugu wa Sabaya wataka Rais Samia aingilie kati kesi ya Sabaya na wenzake, wataka Serikali ikumbuke mazuri aliyoyafanya Sabaya akiwa kiongozi
Africa East Africa

Ndugu wa Sabaya wataka Rais Samia aingilie kati kesi ya Sabaya na wenzake, wataka Serikali ikumbuke mazuri aliyoyafanya Sabaya akiwa kiongozi

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Wakiangua vilio huku wakiwa wameshika majani ya masala nje ya mahakama hiyo, wamemuomba Rais Samia ayakumbuke mazuri aliyofanya Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai.

Serikali ya Tanzania kutumia trilioni 9 kulipa deni
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania kutumia trilioni 9 kulipa deni

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Wizara ya Fedha na Mipango nchini Tanzania imeliomba Bunge kuidhinisha shilingi trilioni 14.94 ikiwa ni  bajeti ya mwaka wa fedha 2022/2023 huku shilingi trilioni 9.09 zikienda katika kulipa deni la Serikali.

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais
East Africa Features People Politics

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga Jumatatu alizundua manifesto yake yenye ahadi 10, akiahidi kuinua uchumi ndani ya siku 100 za uongpzi wake kama Rais wa Kenya.

Serengeti Girls yapewa heshima ya pekee ndani ya bunge la Tanzania
Sports

Serengeti Girls yapewa heshima ya pekee ndani ya bunge la Tanzania

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Wachezaji wa timu hiyo na baadhi ya maofisa, walipewa heshima hiyo kwa kuingia ndani ya ukumbi wa bunge, huku wakipigiwa makofi na wabunge.

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Matukio ya ubakaji yaongoza kwenye matukio ya ukatili nchini Tanzania
Africa East Africa

Matukio ya ubakaji yaongoza kwenye matukio ya ukatili nchini Tanzania

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Serikali ya Tanzania imetaja jumla ya matukio 11,499 ya ukatili yaliyoripotiwa katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2021 huku ubakaji ukiongza kwa idadi ya matukio hayo.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo