• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 8, 2022

Kenya: “Hatutafunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi” Waziri wa Usalama wa Ndani
East Africa Features Politics

Kenya: “Hatutafunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi” Waziri wa Usalama wa Ndani

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i alisisitiza msimamo huo alipokuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa warsha ya mikakati ya Kitaifa ya usalama wa mtandao 2022-2026.

Tanzania kuendelea kutoa ruzuku kwenye mafuta hadi bidhaa hiyo itakaposhuka bei
Africa East Africa

Tanzania kuendelea kutoa ruzuku kwenye mafuta hadi bidhaa hiyo itakaposhuka bei

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Serikali ilianza kutoka zuruku ya shilingi bilioni 100 mwezi huu na kuleta ahueni kwenye bei za nishati ya mafuta ambapo Petroli ilipungua kwa shilingi 152 hadi 306 na dizeli shilingi 320 hadi 488 kutegemeana na eneo.

Nigeria: Wajumbe wa chama tawala wapiga kura kumchagua mgombeaji wa uchaguzi wa urais wa 2023
Africa Features People Politics

Nigeria: Wajumbe wa chama tawala wapiga kura kumchagua mgombeaji wa uchaguzi wa urais wa 2023

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Zaidi ya wajumbe 2,300 wa APC walipiga kura kumchagua mgombea atakayekabiliana na Atiku Abubakar wa chama cha upinzani cha Peoples Democratic Party (PDP) katika kura ya urais ya Februari 25 2023

Upinzani Uganda umekashifu ununuzi wa limos kwa maafisa wa serikali huku mfumuko wa bei ukiendelea kuongezeka
East Africa Features Politics

Upinzani Uganda umekashifu ununuzi wa limos kwa maafisa wa serikali huku mfumuko wa bei ukiendelea kuongezeka

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Ununuzi wa shilingi bilioni 2.4 (dola 640,000) wa gari mbili za limousine kwa spika wa bunge na naibu wake umechochea hasira ya umma

Mfalme wa Ubelgiji awasili DR Congo kwa ziara
Africa East Africa Features People Politics

Mfalme wa Ubelgiji awasili DR Congo kwa ziara

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Mfalme huyo atafanya ziara ya siku sita inadaiwa kuwa nafasi ya maridhiano baada ya ukatili uliofanywa chini ya utawala wa kikoloni wa Ubelgiji.

Wagonjwa 161, wathibitishwa kuwa na UVIKO-19 nchini Tanzania.
Africa East Africa

Wagonjwa 161, wathibitishwa kuwa na UVIKO-19 nchini Tanzania.

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Serikali nchini humo, Dk Aifello Sichwale imeeleza kuwa ongezeko hilo ni sawa na asilimia 137, hali inayoashiria kuwa maambukizi yameanza kuongezeka kwa jamii.

Mwalimu wa “Field”adaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa sita
Africa East Africa

Mwalimu wa “Field”adaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa sita

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Mwalimu huyo alikwenda shuleni hapo kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo akitokea Chuo cha Ualimu Tandala kilichopo wilayani Makete mkoani Njombe.

Raia anayedaiwa kuwa ni wa Burundi auawa baada ya kujaribu kupora.
Africa East Africa

Raia anayedaiwa kuwa ni wa Burundi auawa baada ya kujaribu kupora.

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Awali kabla ya kutekeleza azma yake hiyo, akiwa amejificha kwenye kichaka alikutana na mwananchi wa kijiji hicho, Yapemacho Kasiano ambaye alimhoji mtu huyo sababu ya kujificha kichakani na alijibu kuwa alikuwa anatafuta njia ya kwenda Burundi.

Timu ya Taifa ya Tanzania kuikabili Algeria
Sports

Timu ya Taifa ya Tanzania kuikabili Algeria

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Kocha wa Stars Kim Paulsen alisema wataingia uwanjani kwa kuwaheshimu wapinzani kutokana na ubora walionao.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo