• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 14, 2022

UN: Idadi ya waliofariki kutokana na mapigano katika jimbo la Darfur Sudan yaongezeka hadi 125
Africa Features

UN: Idadi ya waliofariki kutokana na mapigano katika jimbo la Darfur Sudan yaongezeka hadi 125

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Mapigano hayo yalianza kama mzozo wa ardhi kati ya watu wawili, mmoja kutoka Rizeigat na mwingine kutoka Gimir, kabla ya kuongezeka kwa ghasia zilizohusisha watu wengine wa makabila hayo mawili.

Ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania waongezeka
Africa East Africa

Ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania waongezeka

Asia GambaJune 14, 2022June 14, 2022

Hayo yamesemwa leo bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango nchini humo Dk. Mwigulu Nchemba, wakati akiwasilisha taarifa ya hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka 2021 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2022.

Tukio la mauaji ya Padri mkoani Mbeya lazua hofu kwa wananchi
Africa East Africa

Tukio la mauaji ya Padri mkoani Mbeya lazua hofu kwa wananchi

Asia GambaJune 14, 2022June 14, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amesema tukio la mauaji ya kutisha ya Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya, Michael Samson (63) raia wa Malawi, limezua hofu miongoni mwa wananchi wa mkoa huo.

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka
Africa Features People Politics

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Kabuga mwenye umri wa maika 87, anadaiwa kuwa mfadhili wa mauaji ya halaiki ya mwaka 1994 yaliyosababisha vifo vya watu 800,000 hasa Watutsi

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji
Africa Features Politics

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini

Macho na masiko ya wananchi hii leo ni katika mhimili wa bunge ambapo Bajeti Kuu ya Serikali itasomwa 
Africa East Africa

Macho na masiko ya wananchi hii leo ni katika mhimili wa bunge ambapo Bajeti Kuu ya Serikali itasomwa 

Asia GambaJune 14, 2022June 14, 2022

Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023 inawasilishwa siku moja na bajeti za serikali za baadhi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo