• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 17, 2022

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi
Africa Features People Politics

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Polisi wa Senegal waliziba njia ya kuelekea nyumbani kwake kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko baada yake kuitisha maandamano siku ya Ijumaa, wakati nchi hiyo ikiwa katika mvutano wa kabla ya uchaguzi.

Maumivu yaja kwa watumiaji wa daraja la Tanzanite
Africa East Africa

Maumivu yaja kwa watumiaji wa daraja la Tanzanite

Asia GambaJune 17, 2022June 17, 2022

Serikali imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha – Mlandizi – Chalinze – Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa – Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha. 

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu DR Congo inasema waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji muhimu
East Africa Features Politics

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu DR Congo inasema waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji muhimu

Maureen MedzaJune 17, 2022

Wataalamu huru wanaoripoti kwa Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walisema Ijumaa kuwa waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji wa mashariki wa Goma, DR Congo

Morocco: Bei ya mafuta yapanda na kufikia viwango vya juu zaidi
Africa Features

Morocco: Bei ya mafuta yapanda na kufikia viwango vya juu zaidi

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Bei ya mafuta ya petroli ilipanda na kufikia kiwango cha juu zaidi nchini Morocco na kuzua hasira miongoni mwa vyama vya wafanyakazi

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023
Africa Features People Politics

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Abubakar, mgombea wa chama cha Peoples Democratic Party (PDP) anawania kiti cha urais kwa mara ya sita na atakuwa anakabiliana na mgombea wa chama tawala na gavana wa zamani wa Lagos Bola Tinubu

Ivory Coast: Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu sita
Africa Features Nature

Ivory Coast: Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu sita

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Watu sita walikufa baada ya mvua kubwa kusababisha mporomoko ya ardhi katika mji mkuu wa Ivory Coast Abidjan

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo