• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: June 2022

Naomi Osaka azindua kampuni ya utangazaji ‘Hana Kuma’ kwa ushirikiano na Lebron James
Arts & Culture Business / Finance People Sports

Naomi Osaka azindua kampuni ya utangazaji ‘Hana Kuma’ kwa ushirikiano na Lebron James

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

“Hana Kuma”, jina la kijapani ambayo tafsiri yake “Flower Bear” ni kampuni itakayotoa hadithi maalum za kitamaduni lakini pia za ulimwengu kwa watazamaji wote”

European Union urges Ethiopia to lift fuel restrictions to Tigray
Africa East Africa

European Union urges Ethiopia to lift fuel restrictions to Tigray

Aska MakoriJune 22, 2022June 22, 2022

Tigrayans have spent several months without access to basic services such as electricity, telecommunications, internet and banking.

Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi
Africa Features People Politics

Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Kwa mujibu wa katiba ya Malawi, Chakwera hawezi kumsimamisha au kumwondoa Chilima kwa sababu ni afisa aliyechaguliwa na raia

Serikali: Haki na Sheria za Kimataifa zmezingatiwa kwa wananchi wanaoishi Ngorongoro na Loliondo
Africa East Africa

Serikali: Haki na Sheria za Kimataifa zmezingatiwa kwa wananchi wanaoishi Ngorongoro na Loliondo

Asia GambaJune 22, 2022June 22, 2022

“Serikali imekuja na mpango wa kulinda eneo la Ngorongoro, imechukua miaka 20 kuandaa na kuratibu mpango huu, ambao unatekelezwa sasa na hakuna uhamishaji wa nguvu unaofanywa kwa wananchi kama inavyodaiwa, wananchi husika wameshirikishwa vya kutosha na ndio maana wamekubali na kuamua kuhama kwa hiari wenyewe,”

Wasanii wa Hip Hop kutoka nchi 10 kukutana kwenye Tamasha la Hip Hop asili
Entertainment

Wasanii wa Hip Hop kutoka nchi 10 kukutana kwenye Tamasha la Hip Hop asili

Asia GambaJune 22, 2022June 22, 2022

Tamasha hilo la Hip Hop asili litafanyika kwa muda wa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 23 hadi 25 mwezi huu.

Kizimbani kwa kukutwa na chuchu za mwanamke
Africa East Africa

Kizimbani kwa kukutwa na chuchu za mwanamke

Asia GambaJune 22, 2022June 22, 2022

Anadaiwa kukutwa akimiliki viungo vya binadamu ambavyo ni sehemu za siri za mwanamke tano, mafuvu mawili ya binadamu na chuchu tano za mwanamke.

Polisi jijini Mwanza yakamata kilo 561 za mirungi
Africa East Africa

Polisi jijini Mwanza yakamata kilo 561 za mirungi

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Akizungumza na waaandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi mkoani humo, Ramadhani Ng’anzi amesema gari hilo mali ya Malema Maswi lilikamatwa Juni 8, 2022 Saa 5: 20 usiku katika maeneo ya Itumbili wilayani Magu mkoani humo muda mfupi baada ya kutelekezwa na dereva ambaye jina lake halijatambulika.

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto
Features International

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Kasisi aliyefukuzwa kazi na aliyewahi kushika nyadhifa za juu katika Kanisa Katoliki nchini Chile alihukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kubaka na kuwadhalilisha watoto kingono

Mwanafunzi auawa, mwili wake watupwa pembeni ya mto nchini Tanzania
Africa East Africa

Mwanafunzi auawa, mwili wake watupwa pembeni ya mto nchini Tanzania

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Tukio la mtoto huyo kuuawa ni tukio la tatu ndani ya wiki mbili ambapo watoto wengine wawili mmoja akiwa na miaka miwili aliuawa kwa kukatwa shingo na mwingine wa miaka saba inadaiwa alilawitiwa na kubakwa kisha kukatwa shingo wilayani Nyang’hwale mkoani humo.

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula
Africa Features

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Umoja wa Ulaya Jumanne uliahidi kuongeza euro milioni 600 kusaidia mataifa yaliyo hatarini kukabiliana na mzozo wa usalama wa chakula uliozidishwa na vita vya Urusi dhidi ya Ukraine.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo