• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 1, 2022

Miaka 30 ya Vyama Vingi: Changamoto na Mustakabali kusonga mbele
Africa East Africa

Miaka 30 ya Vyama Vingi: Changamoto na Mustakabali kusonga mbele

Asia GambaJuly 1, 2022July 1, 2022

Leo Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi. Katika kipindi hicho, taifa letu limepitia katika kipindi cha furaha, majonzi, misukusuko na changamoto zote wakati taifa linapoanza njia mpya. Jambo hili si jepesi kwa sababu nyakati hizo hazikuwa rahisi duniani kote.

Sudan: Vitoza machozi vyafyatuliwa kwenye maandamano ya kupinga mapinduzi
Africa Features People Politics

Sudan: Vitoza machozi vyafyatuliwa kwenye maandamano ya kupinga mapinduzi

Maureen MedzaJuly 1, 2022July 1, 2022

Wasudan waandamana kupinga unyakuzi wa kijeshi ulioongozwa na mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan Oktoba mwaka jana.

William Ruto azindua manifesto ya Kenya Kwanza
East Africa People Politics

William Ruto azindua manifesto ya Kenya Kwanza

Maureen MedzaJuly 1, 2022July 1, 2022

Zaidi ya hayo, kaunti zitahimizwa kuondoa ada za leseni za biashara mpya zilizoanzishwa na watu wenye ulemavu, huku zikiondoa ushuru wa vifaa vyote vya usaidizi kwa walemavu vinavyoagizwa kutoka nje.

Mabosi wa TPA wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 4.2
Africa East Africa

Mabosi wa TPA wapandishwa kizimbani kwa kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 4.2

Asia GambaJuly 1, 2022July 1, 2022

Waliofikishwa mahakamani kwa makosa hayo, ni Ofisa Rasilimali Watu wa mamlaka hiyo, Peter Gawile (58); Mwenyekiti wa Bodi ya Manunuzi, Casmily Lujegi (65); Mkurugenzi wa Idara ya Manunuzi, Mashaka Kisanta (59) na Kilian Chale (51), ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.

Mwanawe Fela Kuti aghairi tamasha la Morocco kutokana na vifo vya wahamiaji
Africa Entertainment Features People

Mwanawe Fela Kuti aghairi tamasha la Morocco kutokana na vifo vya wahamiaji

Maureen MedzaJuly 1, 2022July 1, 2022

Mwimbaji na mcheza saxophone huyo alikuwa amepangwa kucheza siku ya Jumamosi katika tamasha la Jazzablanca katika jiji la bandari la Morocco la Casablanca.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo