• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 5, 2022

Mawakili wa Serikali wakwamisha kesi ya CHADEMA
Africa East Africa

Mawakili wa Serikali wakwamisha kesi ya CHADEMA

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Kesi hiyo iliyopo mbele ya Jaji Adam Mambi imeahirishwa leo Jumanne, tarehe 5 Julai 2022, hadi Jumatatu ijayo ya tarehe 11 Julai 2022.

Kenya: Outering Road kati ya barabara hatari duniani, mkutano wa UN waambiwa
Kenya

Kenya: Outering Road kati ya barabara hatari duniani, mkutano wa UN waambiwa

Maureen MedzaJuly 5, 2022July 2, 2024

Barabara ya Outering ilichangia vifo 44 kati ya 371 vilivyorekodiwa mwaka jana ikifuatwa kwa karibu na Waiyaki Way, ambayo iligharimu maisha ya watu 38, na Barabara ya Mombasa kwa vifo 29.

Wasichana wang’ara ufaulu wa masomo ya Sayansi kidato cha sita
Africa East Africa

Wasichana wang’ara ufaulu wa masomo ya Sayansi kidato cha sita

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Kwa upande wa watahiniwa waliofanya vizuri zaidi kitaifa katika mtihani huo kwenye masomo ya sayansi, wasichana wamekuwa kinara ambapo wako saba wote kutoka Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde Juu, iliyoko mkoani Tanga, huku wa kiume wakiwa watatu kutoka Shule ya Tabora Boys, ya mkoani Tabora

Algeria inaadhimisha miaka 60 ya uhuru kutoka kwa Ufaransa
Africa Features Politics

Algeria inaadhimisha miaka 60 ya uhuru kutoka kwa Ufaransa

Maureen MedzaJuly 5, 2022July 5, 2022

Algeria ilijipatia uhuru wake kufuatia vita vikali vya miaka minane, ambavyo vilimalizika kwa kutiwa saini kwa Mkataba wa Evian mnamo Machi 1962.

Ivory coast kuanza kutumia unga wa muhogo kuoka mkate
Africa Features

Ivory coast kuanza kutumia unga wa muhogo kuoka mkate

Maureen MedzaJuly 5, 2022July 5, 2022

Huku bei ya ngano ikiendela kupanda kutokana na vita nchini Ukraine, waokaji mikate Ivory Coast wanaanza kutumia unga wa muhogo kuoka mkate.

Aliyekuwa bosi wa TPA asomewa mashtaka akiwa kitandani Muhimbili
Africa East Africa

Aliyekuwa bosi wa TPA asomewa mashtaka akiwa kitandani Muhimbili

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ilihamia kwa muda jana katika hospitali hiyo kwa ajili ya kumsomea Kipande mashtaka yanayomkabili kuanzia saa 8:57 hadi saa 9:08 mchana, likiwamo la kuisababishia TPA hasara ya shilingi  bilioni 4.2.

Morocco yawafungulia mashtaka wahamiaji baada ya janga la Melilla
Africa Features

Morocco yawafungulia mashtaka wahamiaji baada ya janga la Melilla

Maureen MedzaJuly 5, 2022July 5, 2022

Kesi ya wahamiaji 36 wanaoshtakiwa kwa ‘kuingia Morocco kinyume cha sheria,’ ilianza Jumatatu siku chache baada ya jaribio kubwa la kuvuka hadi katika eneo la Uhispania.

Samaki wa ajabu apatikana Mtwara nchini Tanzania
Africa East Africa

Samaki wa ajabu apatikana Mtwara nchini Tanzania

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Samaki huyo alivuliwa na wavuvi wa hiyari, ambao hutega nyavu zao baharini, ambazo hubeba chochote kilichopo Baharini.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo