• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 25, 2022

Kenya yarejelea mauzo ya mirungi Somalia
Business / Finance East Africa Features Politics

Kenya yarejelea mauzo ya mirungi Somalia

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Somalia ilitangaza kupiga marufuku mirungi kutoka Kenya mnamo Machi 2020 huku kukiwa na mzozo wa mpaka wa baharini kati ya majirani hao wawili wa Afrika Mashariki.

Waziri wa Afya nchini Tanzania atoa siku 67 MSD ifumuliwe
Africa East Africa

Waziri wa Afya nchini Tanzania atoa siku 67 MSD ifumuliwe

Asia GambaJuly 25, 2022July 25, 2022

Waziri Ummy ameyasema hayo leo wakati wa uzinduzi wa bodi hiyo itakayoongozwa na Mwenyekiti wake, Rosemary Slaa.

Ulaji wa nyama kwa Watanzania bado mdogo
Africa East Africa

Ulaji wa nyama kwa Watanzania bado mdogo

Asia GambaJuly 25, 2022July 25, 2022

Aidha, imeelezwa kiwango cha sasa cha ulaji wa mayai kwa mtu mmoja kwa mwaka ni 106 wakati mapendekezo ya FAO kiasi kinachotakiwa ni 300.

Madereva wanaohamasisha mgomo nchini Tanzania wapewa onyo                       
Africa East Africa

Madereva wanaohamasisha mgomo nchini Tanzania wapewa onyo                       

Asia GambaJuly 25, 2022July 25, 2022

Akitoa taarifa hiyo kwa vyombo vya habari Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemavu), Prof. Joyce Ndalichako amesema, kufuatia taarifa hiyo wapo baadhi ya madereva ambao wamekuwa wakipotosha taarifa hiyo na kuchochea ama kuhamasisha madereva wenzao kugoma.

Misri: Mahakama inataka hukumu ya kifo cha mwanamume kuonyeshwa mbashara kwenye televisheni
Africa Features Gender

Misri: Mahakama inataka hukumu ya kifo cha mwanamume kuonyeshwa mbashara kwenye televisheni

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Mohamed Adel alipatikana na hatia mwezi uliopita kwa ‘mauaji ya kukusudia’ ya Nayera Ashraf, mwanafunzi mwenzake wa chuo kikuu ambaye alikataa kuwa katika uhusiano nae.

HRW: Waasi wa M23 wamewaua raia 29 nchini DR Congo tangu katikati ya Juni
Africa East Africa Features Politics

HRW: Waasi wa M23 wamewaua raia 29 nchini DR Congo tangu katikati ya Juni

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Kundi la M23 ‘March 23 Movement’ lilipata umaarufu wakati liliteka kwa muda mji wa Goma mashariki mwa Congo mwaka 2012 kabla ya kufurushwa katika mashambulizi ya pamoja ya Umoja wa Mataifa na Congo.

M23 rebels kill 29 civilians in DR Congo since mid-June: Human Rights Watch
Africa East Africa

M23 rebels kill 29 civilians in DR Congo since mid-June: Human Rights Watch

Aska MakoriJuly 25, 2022July 25, 2022

The other deaths took place in subsequent attacks on the same village and in the hamlets of Ruseke and Kabindi, taking the death toll to 29, HRW said.

Egypt court calls for femicide execution to be broadcast live
Africa

Egypt court calls for femicide execution to be broadcast live

Aska MakoriJuly 25, 2022July 25, 2022

Egyptians shared their horror online when a video went viral in June appearing to show Ashraf being stabbed outside her university in Mansoura.

Kenya:  Watu 33 wafariki baada ya basi kutumbukia mtoni
Kenya

Kenya: Watu 33 wafariki baada ya basi kutumbukia mtoni

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 2, 2024

Ajali hiyo ilitokea Jumapili jioni wakati basi hilo lilikuwa likisafiri kutoka Meru kuelekea Mombasa.

Angola gears up for tight election as Lourenco’s star fades
Africa

Angola gears up for tight election as Lourenco’s star fades

Aska MakoriJuly 25, 2022July 25, 2022

Lourenco is seeking a second term in the August 24 vote, which observers predict will be the tightest since the oil-rich country emerged from a lengthy civil war two decades ago.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo