• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 29, 2022

Majaliwa: Nyongeza ya mishahara inawahusu zaidi wanaolipwa kima cha chini
Africa East Africa

Majaliwa: Nyongeza ya mishahara inawahusu zaidi wanaolipwa kima cha chini

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Majaliwa ametoa ufafanuzi huo leo Ijumaa Julai 29, 2022 wakati akitoa tamko la Serikali kuhusu nyongeza ya mishahara, ikiwa ni siku chache baada ya watumishi kulalamikia nyongeza hiyo na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kupinga.

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kufanya ngono na mwanawe
Africa East Africa

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kufanya ngono na mwanawe

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Akitoa hukumu hiyo, hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya Nzega, Godfrey Rwekite alisema kutokana na ushahidi kukamilika, mahakama imeridhia kumuhukumu kwa Masanja Shija kutumikia kifungo hicho cha miaka 30 jela ili liwe fundisho kwake na kwa wengine.

DR Congo yazindua mnada wenye utata wa uchimbaji wa mafuta na gesi
East Africa Features People Politics

DR Congo yazindua mnada wenye utata wa uchimbaji wa mafuta na gesi

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo siku ya Alhamisi ilizindua mnada wenye utata wa vitalu 30 vya mafuta na gesi

Waziri wa Afya nchini Tanzania asema hakuna mgonjwa mpya wa Mgunda
Africa East Africa

Waziri wa Afya nchini Tanzania asema hakuna mgonjwa mpya wa Mgunda

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Amesema wagonjwa 17 waliokuwa wamelazwa kwenye kituo cha afya cha Ndekenyera tayari wameruhusiwa kuendelea na shughuli zao.

Hali ya Sabaya yasababisha kesi inayomkabili kuahirishwa
Africa East Africa

Hali ya Sabaya yasababisha kesi inayomkabili kuahirishwa

Asia GambaJuly 29, 2022July 29, 2022

Awali wakili wa Sabaya, Fridolin Bwemelo aliieleza mahakama hiyo kuwa Sabaya amefanyiwa upasuaji mkubwa wa kichwa kutokana na uvimbe aliokuwa nao na kwamba anahitaji kupata uangalizi wa karibu.

DR Congo: Mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya waasi yasababisha vifo vya raia 12
East Africa Features Politics

DR Congo: Mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya waasi yasababisha vifo vya raia 12

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Watu wanaoshukiwa kuwa waasi wamewaua raia kumi na wawili katika mashambulizi ya hivi majuzi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,

Waziri wa zamani wa Msumbiji ahukumiwa kifungo cha miaka 16 jela kwa ufisadi
Africa Features People Politics

Waziri wa zamani wa Msumbiji ahukumiwa kifungo cha miaka 16 jela kwa ufisadi

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Maria Helena Taipo, 60, mwanachama wa chama tawala cha FRELIMO ambaye aliongoza wizara ya Leba kutoka 2005 hadi 2014, alishtakiwa kwa ubadhirifu wa metical milioni 113 (dola milioni 1.7) za serikali

ECOWAS yasema Guinea imekubali kipindi cha mpito cha miaka miwili
Africa Features People Politics

ECOWAS yasema Guinea imekubali kipindi cha mpito cha miaka miwili

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Mwenyekiti wa jumuiya ya kanda ya Afrika Magharibi alisema kwamba Guinea itapunguza kipindi cha mpito cha utawala wa kiraia kutoka miaka mitatu hadi miwili.

Nigeria threatens to punish BBC, local media bandit films
Africa

Nigeria threatens to punish BBC, local media bandit films

Aska MakoriJuly 29, 2022July 29, 2022

BBC Africa Eye’s documentary “The Bandit warlords of Zamfara” interviewed gang members and victims to investigate violence in northwest Zamfara state.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo