• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: August 2022

Kenya: Hatimaye IEBC imefungua sava ili uhakiki ufanywe
East Africa Politics

Kenya: Hatimaye IEBC imefungua sava ili uhakiki ufanywe

Victor WanaswaAugust 31, 2022August 31, 2022

Tume ya IEBC imefungua sava na kupisha zoezi la uhakiki kuanza

Asilimia 99 ya Watanzania wamehesabiwa sensa ya watu na makazi
Africa East Africa

Asilimia 99 ya Watanzania wamehesabiwa sensa ya watu na makazi

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Mtakwimu Mkuu wa Serikali nchini Tanzania, Dkt Albina Chuwa hii leo amewaambia wanahabari kwamba hatua hiyo iliyobaki itakwenda kukamilika hadi tarehe 5 2022 September na zoezi hilo litafanyika kwa njia ya simu zilizotolewa zitatumika kuwafikia ambao hawajahesabiwa .

Mwanafunzi afariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake                        
Africa East Africa

Mwanafunzi afariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake                       

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Geita, Ally Kitumbu amethibitisha tukio hilo alipozungumuza na waandishi  wa habari na kumtaja mtuhumiwa wa tukio kuwa ni mwanafunzi wa darasa la saba, shule ya msingi Mkombozi iliyopo mjini Geita, Haruna Amin (16). 

Tanzania kutoa chanjo ya polio awamu ya tatu nchi nzima 
Africa East Africa

Tanzania kutoa chanjo ya polio awamu ya tatu nchi nzima 

Asia GambaAugust 31, 2022August 31, 2022

Waziri wa Afya nchini humo Ummy Mwalimu amesema utoaji wa chanjo hiyo ni kufuatia mlipuko wa ugonjwa huo uliotokea katika nchi jirani ya Malawi mnamo Februari 17, 2022 na kisha nchini Msumbiji mnamo Mwezi Mei 2022.

Kenya: Masuala tisa yatakayoamuliwa katika kesi ya urais
East Africa Politics

Kenya: Masuala tisa yatakayoamuliwa katika kesi ya urais

Victor WanaswaAugust 30, 2022August 30, 2022

Jaji mkuu nchini Kenya Martha Koome aorodhesha mambo tisa ambayo mahakama ya juu zaidi itatoa uamuzi kuyahusu katika kesi ya urais.

Kundi La Wanasheria Mashuhuri Wa Kiafrika Wawasili Kenya Kufuata Kesi za Malalamiko ya Rais
East Africa

Kundi La Wanasheria Mashuhuri Wa Kiafrika Wawasili Kenya Kufuata Kesi za Malalamiko ya Rais

Joy CheptooAugust 29, 2022August 29, 2022

Wajumbe wa Jukwaa la Majaji na Wanasheria wa Afrika wawasili nchini Kenya kwa ajili ya kuangalia na kutoa taarifa ya mchakato wa kesi ya Pingamizi la Urais

Baraza la usalama Kenya yapinga kutaka kubadili matokeo ya urais
East Africa Politics

Baraza la usalama Kenya yapinga kutaka kubadili matokeo ya urais

Victor WanaswaAugust 29, 2022August 29, 2022

Baraza la kitaifa la usalama Kenya limepinga kujaribu kuitilafiana na matokeo ya urais.

China prosecutes 28 suspects for restaurant attack on women
Asia Gender

China prosecutes 28 suspects for restaurant attack on women

Mwanzo EditorAugust 29, 2022August 29, 2022

28 people have been charged by Chinese prosecutors following a brutal assault on a group of women that sparked outrage over gender-based violence in the country

Johnson Sakaja- The ‘Miracle Candidate’
Africa East Africa Politics

Johnson Sakaja- The ‘Miracle Candidate’

Joy CheptooAugust 26, 2022August 26, 2022

President elect William Ruto described Johnson Sakaja as a ‘miracle candidate’ during his swearing in ceremony, as his gubernatorial journey was marked by a series controversies and challenges.

Ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kutengeneza silaha bandia       
Africa East Africa

Ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kutengeneza silaha bandia       

Asia GambaAugust 26, 2022August 26, 2022

Silaha alizokutwa nazo ni aina ya AKA 47 (SMG) 11, Uzgun moja, bastola tano, fulana mbili za kujikinga na risasi mbili zilizotengenezwa kwa kutumia plastiki na mbao.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo