• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: August 3, 2022

OPEC+ agrees small oil output rise despite Biden plea
International

OPEC+ agrees small oil output rise despite Biden plea

Mwanzo EditorAugust 3, 2022August 3, 2022

The OPEC+ oil cartel agreed to a small increase in production, likely disappointing US President Joe Biden

Stock markets rise after Pelosi’s Taiwan trip
Business / Finance

Stock markets rise after Pelosi’s Taiwan trip

Mwanzo EditorAugust 3, 2022August 3, 2022

Investor concerns over US-China tensions have eased

Ashikiliwa na Polisi kwa kuwapora watalii kisha kuwatelekeza
Africa East Africa

Ashikiliwa na Polisi kwa kuwapora watalii kisha kuwatelekeza

Asia GambaAugust 3, 2022August 3, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi ACP Richard ThadeI Mchomvu  alimtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Mohamed Aboud Mtoro (37), msukuma wa Darajabovu mkoani humo ambae alipora watalii waliotokea nchini Poland. 

Raia sita wa Nigeria wakamatwa kwa ulaghai wa tovuti ya watu wa jinsia moja
Africa

Raia sita wa Nigeria wakamatwa kwa ulaghai wa tovuti ya watu wa jinsia moja

Asia GambaAugust 3, 2022August 3, 2022

Kukamatwa huko kulifuatia malalamishi ya mwathiriwa aliyedai kuwa alipigwa picha za uchi, huku akitishia kuzichapisha kwenye mitandao ya kijamii ikiwa hatazipa pesa.

Hakuna homa ya Nyani Tanzania
Africa East Africa

Hakuna homa ya Nyani Tanzania

Asia GambaAugust 3, 2022August 3, 2022

Julai 23 WHO ilitangaza kuwa homa ya nyani ni dharura ya afya ya umma duniani, hatua ambayo inalenga kuwezesha shirika hilo kuratibu na kushirikiana na nchi na wadau halikadhalika mshikamano wa kidunia.

IEBC inashikilia uamuzi wa kutumia rejista ya kielektroniki ya wapiga kura nchini Kenya, ikisubiri uamuzi wa mahakama
Africa East Africa

IEBC inashikilia uamuzi wa kutumia rejista ya kielektroniki ya wapiga kura nchini Kenya, ikisubiri uamuzi wa mahakama

Asia GambaAugust 3, 2022August 3, 2022

Akihutubia wanahabari katika ukumbi wa Bomas of Kenya siku ya Jumanne, kamishna wa IEBC Abdi Guliye alisisitiza kuwa watakuwa wakitumia sajili ya kidijitali na tayari wamepeleka vifaa hivyo katika vituo vingi vya kupigia kura vilivyowekwa kutumika katika zoezi la upigaji kura.

Maumivu ya bei ya mafuta nchini Tanzania huku gharama za maisha zikiongezeka
Africa East Africa

Maumivu ya bei ya mafuta nchini Tanzania huku gharama za maisha zikiongezeka

Asia GambaAugust 3, 2022August 6, 2022

Aidha, katika taarifa iliyotolewa jana Jumanne Agosti 2, 2022 na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), bei ya rejareja jijini Dar es Salaam baada serikali kuweka ruzuku ya shilingi bilioni 100, itakuwa shilingi 3,410 kwa lita moja ya petroli na shilingi 3,322 kwa dizeli huku mafuta ya taa yakifika shilingi 3,765.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo