• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: August 24, 2022

Kuchengo: Kuna dodoso maalumu litakalotumika kwa kaya zisizokuwepo nyumbani 
Africa East Africa

Kuchengo: Kuna dodoso maalumu litakalotumika kwa kaya zisizokuwepo nyumbani 

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Kupitia dodoso hilo karani utaweza kufuatilia tarifa za kaya kwa ukaribu zaidi

Ofisa Mipango nchini Tanzania alawiti mtoto wa miaka mitano ndani ya gari                         
Africa East Africa

Ofisa Mipango nchini Tanzania alawiti mtoto wa miaka mitano ndani ya gari                        

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, ACP Ali Makame amewaambia wanahabari kuwa, tukio hilo lilitokea Agosti 13, 2022, majira ya saa moja na nusu jioni katika Kijiji na Kata ya Kibaoni, Tarafa ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele

Miaka 31 ya uhuru wa Ukraine iliyojaa misukosuko ya vita
Europe International War & Conflicts

Miaka 31 ya uhuru wa Ukraine iliyojaa misukosuko ya vita

Asia GambaAugust 24, 2022July 2, 2024

Ukraine inaadhimisha uhuru wake ikiwa katika hali ngumu ya misukosuko ya vita vinavyorudisha nyuma maendeleo ya taifa hilo ambalo sasa watu wake wanaishi kwa hofu juu ya muafaka wa maisha yao

Waangola leo wanapiga kura ya kumchagua rais huku kukiwa na hali mbaya ya kiuchumi.
Africa

Waangola leo wanapiga kura ya kumchagua rais huku kukiwa na hali mbaya ya kiuchumi.

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Uchaguzi huo umegubikwa na masaibu mengi ya Angola ikiwemo uchumi unaotatizika, mfumuko wa bei, umaskini na ukame, ukichangiwa na kifo cha rais wa zamani 

Aliyejifanya mkurugenzi wa usalama wa taifa ahukumiwa miaka mitano jela.
Africa East Africa

Aliyejifanya mkurugenzi wa usalama wa taifa ahukumiwa miaka mitano jela.

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Mlele, Bilal Ahmed, alitoa hukumu hiyo Agosti 22 baada ya kesi namba 90 ya mwaka 2022 kusikilizwa mahakamani hapo na mshtakiwa kukutwa na hatia.

Mlipuko wa Ebola wazuka tena nchini DRC       
Africa East Africa

Mlipuko wa Ebola wazuka tena nchini DRC       

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Kwa mujibu wa WHO uchunguzi umeonyesha kuwa kisa hicho kinahusiana na milipuko miwili iliyodumu kwa muda mrefu nchini humo ya majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.

Serikali ya Tanzania yawachinjia nyama Wahadzabe ili washiriki zoezi la Sensa   
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yawachinjia nyama Wahadzabe ili washiriki zoezi la Sensa   

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Akizungumza mjini Karatu, wakati Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella, amesema waliamua kuwachinjia jamii ya Wahadzabe, pundamilia wawili na nyumbu wawili, pamoja na kuwapa ndizi mbivu, ili wawepo katika makazi yao kwa ajili ya kuhesabiwa.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo