• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: December 2022

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri
Africa East Africa

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Taarifa iliyotolewa na shirika hilo kupitia ukurasa wao wa mtandao wa Twitter shirika hilo limesema juhudi zinaendelea kufanyika ili kurudisha huduma kama ilivyokuwa hapo awali huku likijulisha kuwa ndege moja ya Airbus ipo katika hatua za mwisho za marekebisho na inategemewa kurudi katika miruko ya kawaida kuanzia wiki ijayo.

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa
Africa East Africa

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania imekamata kilo 16.643 za dawa za kulevya zikiwamo kilo 15.19 za heroin

Kenya drought leaves wildlife gasping for breath
East Africa Environment

Kenya drought leaves wildlife gasping for breath

Mwanzo EditorDecember 7, 2022December 7, 2022

Wildlife has also paid a heavy price, with 205 elephants, 512 wildebeest, 381 zebras and 12 giraffes dying from the drought between February and October this year

Japan confident of bright future despite World Cup heartbreak
Asia Football Sports

Japan confident of bright future despite World Cup heartbreak

Mwanzo EditorDecember 6, 2022December 6, 2022

Japan failed to reach the World Cup quarter-finals once again but stunning wins over Germany and Spain and more players…

Indonesia kupiga marufuku ngono nje ya ndoa na kuwakataza watu ambao hawajaoana kuishi pamoja
Asia

Indonesia kupiga marufuku ngono nje ya ndoa na kuwakataza watu ambao hawajaoana kuishi pamoja

Joy CheptooDecember 6, 2022December 6, 2022

Indonesia inatazamiwa kurekebisha kanuni zake za uhalifu, na kufanya ngono nje ya ndoa kuadhibiwa kwa hadi mwaka mmoja jela – hatua ambayo wakosoaji wanasema inaweza kuzuia uhuru na maadili ya polisi

Maambukizi ya virusi vya corona yaongezeka nchini Tanzania.
Africa East Africa

Maambukizi ya virusi vya corona yaongezeka nchini Tanzania.

Asia GambaDecember 6, 2022December 6, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Serikali nchini humo Profesa Tumaini Nagu, visa vipya vya maambukizi ya Uviko-19 vilivyobainika ni 442.

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba
Africa East Africa

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba

Asia GambaDecember 6, 2022December 6, 2022

Mahakama Kuu nchini Tanzania kanda ya Dar es salaam imesema  uamuzi wa kumwondoa katika utumishi wa umma aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini humo, Profesa Mussa Assad ulikiuka Katiba.

Kesi ya Guinea iliahirishwa baada ya aliyekuwa dikteta kuugua
Africa People Politics

Kesi ya Guinea iliahirishwa baada ya aliyekuwa dikteta kuugua

Joy CheptooDecember 5, 2022December 5, 2022

Kesi ya mauaji ya mwaka 2009 nchini Guinea iliahirishwa kwa wiki moja siku ya Jumatatu baada ya dikteta wa zamani Moussa Dadis Camara kusema alikuwa mgonjwa sana kutoa ushahidi

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine
Africa East Africa

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine

Asia GambaDecember 5, 2022December 5, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Disemba 5,2022 ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema kuwa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu 2022 zitafanyika kwa njia ya midahalo na makongamano mbalimbali yatakayofanyika katika wilaya zote hapa nchini.

UAE leader visits Qatar for the first time since blockade
Asia Business / Finance People Politics

UAE leader visits Qatar for the first time since blockade

Mwanzo EditorDecember 5, 2022December 5, 2022

The United Arab Emirates’ president on Monday began his first visit to Qatar since the end of a nearly four-year regional blockade that put ties in the deep freeze

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo