• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: January 2023

Mlanguzi sugu wa dawa za kulevya wa Nigeria ashtakiwa Kenya
Africa

Mlanguzi sugu wa dawa za kulevya wa Nigeria ashtakiwa Kenya

Victor WanaswaJanuary 11, 2023July 2, 2024

Ripoti za maafisa wa polisi zinaonyesha Martin Ike alikamtwa nchini Nigeria na maafisa wa kitengo cha polisi wa Interpol na  kusafirishwa hadi nchini Kenya

Mwanaharakati wa LGBTQ wa Kenya alikufa kwa kukosa hewa: uchunguzi wa maiti unaonyesha
East Africa People

Mwanaharakati wa LGBTQ wa Kenya alikufa kwa kukosa hewa: uchunguzi wa maiti unaonyesha

Joy CheptooJanuary 11, 2023January 11, 2023

Jacktone Odhiambo, ambaye aliripotiwa kuwa mpenzi wa Chiloba, ameshtakiwa kwa mauaji yake na yuko chini ya ulinzi wa polisi pamoja na washukiwa wengine wanne.

Rais Samia:Zama za ugomvi katika siasa ziishe twendeni na hoja za maana.
Africa East Africa

Rais Samia:Zama za ugomvi katika siasa ziishe twendeni na hoja za maana.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Januari 10, 2022 huko Unguja, visiwani Zanzibar wakati wa kilele cha matembezi ya vijana kuadhimisha miaka 59 ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar zilizoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM),ambapo yeye akiwa mgeni rasmi.

Uganda court quashes key part of controversial internet law
Africa

Uganda court quashes key part of controversial internet law

Victor WanaswaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Justice Kenneth Kakuru, announcing the ruling of the court’s five-judge panel, found the article in the 2011 law contravened the East African country’s constitution and was “null and void”.

Jaji Mkuu wa Tanzania ahimiza usuluhishi katika kutatua migogoro.
Africa East Africa

Jaji Mkuu wa Tanzania ahimiza usuluhishi katika kutatua migogoro.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewahimiza wananchi kutumia njia ya usuluhishi katika kutatua migogoro ya kisheria kwa lengo la kukuza uchumi endelevu badala ya kukimbilia mahakamani.

Kesi ya Maofisa wa polisi wanaodaiwa kumuua mfanyabiashara wa madini kusikilizwa kesho.
Africa East Africa

Kesi ya Maofisa wa polisi wanaodaiwa kumuua mfanyabiashara wa madini kusikilizwa kesho.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Mara ya kwanza maofisa hao walifikishwa mahakamani Januari 25, mwaka 2022 kwa tuhuma za kufanya mauaji ya hayo ambayo yalizua hisia mseto na kuleta taswira mbaya kwa jeshi la polisi nchini Tanzania

Brazil patrols government buildings retaken from rioting Bolsonaro supporters
International

Brazil patrols government buildings retaken from rioting Bolsonaro supporters

Victor WanaswaJanuary 9, 2023January 9, 2023

Newly inaugurated President Luiz Inacio Lula da Silva, the veteran leftist who narrowly won Brazil’s bitter, divisive October elections, condemned the invasions as a “fascist” attack.

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya na wenzake Januari 17.
Africa East Africa

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya na wenzake Januari 17.

Asia GambaJanuary 9, 2023January 9, 2023

Rufaa hiyo namba 155/2022, inapinga hukumu kesi ya uhujumu uchumi iliyowaachia huru Ole Sabaya na wenzake ambao ni pamoja na Enock Mnkeni, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.

Senegal yatangaza maombolezo ya kitaifa baada ya ajali ya basi kuua makumi
Africa

Senegal yatangaza maombolezo ya kitaifa baada ya ajali ya basi kuua makumi

Victor WanaswaJanuary 9, 2023January 9, 2023

Rais Macky Sall amesema kwenye mtandao wake wa twitter kwamba, amehuzunishwa sana na ajali hiyo na kutangaza siku tatu za maombolezo.

Kevin McCarthy apoteza kura ya 11 ya uspika Marekani, Je atashinda nafasi hiyo?
International Politics

Kevin McCarthy apoteza kura ya 11 ya uspika Marekani, Je atashinda nafasi hiyo?

Victor WanaswaJanuary 6, 2023January 6, 2023

Kundi la wabunge 20 wenye msimamo mkali wa chama chake cha Republican wamekataa kumpa McCarthy kura 218 zinazohitijaka kumfanya spika wa bunge hilo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo