• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: February 23, 2023

Mgombea wa useneta wa Nigeria auawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuchomwa moto
Africa People Politics

Mgombea wa useneta wa Nigeria auawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuchomwa moto

Mwanzo EditorFebruary 23, 2023February 23, 2023

Wasaidizi wake waliokuwa pamoja naye pia waliuawa kwa kupigwa risasi kabla ya gari lao kuchomwa moto huku miili ikiwa ndani, vyombo vya habari vya eneo hilo vinaripoti.

Burkina Faso kumzika upya Sankara
Africa People

Burkina Faso kumzika upya Sankara

Mwanzo EditorFebruary 23, 2023February 23, 2023

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso inajiandaa kuzika masalia ya mwili wa rais wa zamani wa nchi hiyo Thomas Sankara hii leo Alhamisi, huu familia yake ikikataa kushiriki mazishi hayo.

Museveni afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine, Zelenskyy
East Africa Europe War & Conflicts

Museveni afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine, Zelenskyy

Joy CheptooFebruary 23, 2023July 2, 2024

Museveni alisema Uganda ilijizuia na kuchukua msimamo wa kutoegemea upande wowote wakati suala la Urusi na Ukraine lilipokuja kujadiliwa katika Umoja wa Mataifa.

Raila Odinga Astaafu Kama Mwakilishi Mkuu Wa Umoja Wa Afrika Kwa Maendeleo Ya Miundombinu
Africa East Africa People

Raila Odinga Astaafu Kama Mwakilishi Mkuu Wa Umoja Wa Afrika Kwa Maendeleo Ya Miundombinu

Davis MberiaFebruary 23, 2023February 23, 2023

Taarifa ya kustaafu kwake Odinga ilitangazwa na mwenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat.

Rais William Ruto Amthubutu Raila Kuandaa Maandamano
Africa East Africa Politics

Rais William Ruto Amthubutu Raila Kuandaa Maandamano

Davis MberiaFebruary 23, 2023February 24, 2023

Ruto alikuwa anamjibu odinga ambaye aliipa serikali ya Rais Ruto makataa ya siku 14 kupunguza gharama ya maisha la sivyo ataandaa maandamano kote nchini Kenya.

Kenya kuchunguza unyanyasaji wa kingono kwa wafanyakazi katika mashamba ya chai kufuatia makala ya BBC
East Africa People

Kenya kuchunguza unyanyasaji wa kingono kwa wafanyakazi katika mashamba ya chai kufuatia makala ya BBC

Joy CheptooFebruary 23, 2023February 23, 2023

Zaidi ya wanawake 70 wanaofanya kazi katika mashamba ya chai walifichua kwamba walikuwa wamenyanyaswa kingono na wasimamizi wao kwa miaka mingi

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo