• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 13, 2023

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris kuzuru Afrika baadaye mwezi huu
Africa People Politics

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris kuzuru Afrika baadaye mwezi huu

Joy CheptooMarch 13, 2023March 13, 2023

Anapanga kuwa Ghana kuanzia Machi 26 hadi 29, kisha Tanzania kuanzia Machi 29 hadi 31. Kituo chake cha mwisho ni Zambia, Machi 31 na Aprili 1.

Serikali ya Tanzania kukusanya na kutumia trilioni 44.38 mwaka 2023/2024
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania kukusanya na kutumia trilioni 44.38 mwaka 2023/2024

Asia GambaMarch 13, 2023March 13, 2023

Serikali ya Tanzania inatarajia kukusanya na kutumia shilingi trilioni 44.38  kwa mwaka 2023/2024 ikiwa ni ongezeko la asilimia 7.0 ya bajeti ya mwaka 2022/2023.

Lady Gaga Performs Emotional Rendition Of ‘Hold My Hand’
Entertainment International

Lady Gaga Performs Emotional Rendition Of ‘Hold My Hand’

Mwanzo EditorMarch 13, 2023July 2, 2024

Lady Gaga took the stage to perform an emotional and raw rendition of her Oscar-nominated song “Hold My Hand” during the Academy Awards on Sunday night.

Rapa kutoka Afrika Kusini Costa Titch afariki baada ya kuanguka jukwaani
Africa East Africa People

Rapa kutoka Afrika Kusini Costa Titch afariki baada ya kuanguka jukwaani

Joy CheptooMarch 13, 2023March 13, 2023

Costa Titch alitamba sana na “Big Flexa,” ambayo imetazamwa zaidi ya milioni 45 kwenye YouTube

CCM yawataka ACT Wazalendo kutotumia lugha za matusi wanapokosoa Serikali.
Africa East Africa

CCM yawataka ACT Wazalendo kutotumia lugha za matusi wanapokosoa Serikali.

Asia GambaMarch 13, 2023March 13, 2023

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Zanzibar, Khamis Mbeto amesema hawatakubali kuona wanasiasa wanatumia majukwaa kueleza uongo na kupotosha umma kwa makusudi ili Serikali ichukiwe.

Aliyekuwa Mhasibu wa Benki atekwa na kisha kuchomwa moto nchini Tanzania
Africa East Africa

Aliyekuwa Mhasibu wa Benki atekwa na kisha kuchomwa moto nchini Tanzania

Asia GambaMarch 13, 2023March 13, 2023

Martha ambaye alikuwa Mhasibu wa Bank of Africa (BOA) tawi la Kahama kabla ya kuachishwa kazi mwezi mmoja uliopita aliuawa kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana baada ya kwenda kwao Kibaha kwa ajili ya kuwasalimia wazazi wake.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo