• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 24, 2023

#KENYA: Mahakama kuu yasitisha uamuzi wa kuvishutumu vituo sita vya televisheni kwa kuripoti maandamano ya upinzani
East Africa People Politics

#KENYA: Mahakama kuu yasitisha uamuzi wa kuvishutumu vituo sita vya televisheni kwa kuripoti maandamano ya upinzani

Joy CheptooMarch 24, 2023March 24, 2023

Katiba inasema kanuni za programu zinahitaji kuangaliwa mara moja kila baada ya miaka miwili lakini mamlaka hiyo ilizipitia kwa mara ya mwisho mwaka 2019 ambao ni zaidi ya miezi 18 iliyopita

Mandonga Na ‘MlungaMbunga’ Yuko Nairobi Kwa Pigano Dhidi Ya Lukyamuzi
Sports

Mandonga Na ‘MlungaMbunga’ Yuko Nairobi Kwa Pigano Dhidi Ya Lukyamuzi

Kevin SeweMarch 24, 2023March 24, 2023

Pigano linalosubiriwa kwa hamu na gamu dhidi ya mandonga nan a mganda Kenneth Lukyamuzi litapeperushwa moja kwa moja  kuanzia saa moja usiku kutoka ukumbi wa Kasarani Gymnasium.

Rais wa DR Congo amteua kiongozi wa zamani wa wanamgambo kuwa mkuu wa ulinzi
Africa People Politics

Rais wa DR Congo amteua kiongozi wa zamani wa wanamgambo kuwa mkuu wa ulinzi

Joy CheptooMarch 24, 2023March 24, 2023

Bemba alikuwa amefungwa na ICC kwa uhalifu uliofanywa na waasi chini ya amri yake, lakini mahakama hiyo ilibatilisha hukumu yake mwaka 2018

Nairobi imeorodheshwa juu zaidi katika mauaji ya polisi mwaka wa 2022 – ripoti imefichua
East Africa

Nairobi imeorodheshwa juu zaidi katika mauaji ya polisi mwaka wa 2022 – ripoti imefichua

Joy CheptooMarch 24, 2023July 2, 2024

Nairobi ilirekodi visa 53 vya mauaji ya polisi huku nyingi zikiwa ni matokeo ya oparesheni za kupinga uhalifu

Michezo Afrika yakumbwa na madai ya unyanyasaji wa kijinsia nchini DR Congo na Cameroon
Africa Football Sports

Michezo Afrika yakumbwa na madai ya unyanyasaji wa kijinsia nchini DR Congo na Cameroon

Mwanzo EditorMarch 24, 2023March 24, 2023

Kocha wa zamani wa kandanda nchini DR Congo amesimamishwa kazi kwa muda wa miezi mitano baada ya uchunguzi wa awali…

Rwanda yaonya kuhusu ‘mauaji ya kimbari’ mashariki mwa DRC
Africa East Africa Environment People

Rwanda yaonya kuhusu ‘mauaji ya kimbari’ mashariki mwa DRC

Mwanzo EditorMarch 24, 2023March 24, 2023

Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda Vincent Biruta amesema kwamba nchi yake inahofu kuhusu uwezekano wauliopo wa “mauaji ya…

Taifa Stars kuikabili The Cranes ya Uganda leo
Football Sports

Taifa Stars kuikabili The Cranes ya Uganda leo

Asia GambaMarch 24, 2023March 24, 2023

Timu ya Taifa nchini Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani leo nchini Misri kuikabili The Cranes (Uganda) katika mchezo wa tatu wa Kundi F wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Africa (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast.

Watu 193 waliochangamana na wenye vurusi vya Murburg wawekwa karantini nchini Tanzania. 
Africa East Africa

Watu 193 waliochangamana na wenye vurusi vya Murburg wawekwa karantini nchini Tanzania. 

Asia GambaMarch 24, 2023March 24, 2023

Mganga Mkuu wa Serikali nchini Tanzania, Dk Tumaini Nagu amesema wagonjwa watatu waliogundulika kuwa na virusi vya Marburg wanaendelea na matibabu na hali zao zinaendelea kuimarika na hakuna maambukizi ya watu wengine tangu kuliporipotiwa kuzuka kwa virusi hivyo.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo