• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 6, 2023

Tanzania to enter into an agreement with DP World for the development of Dar es Salaam port
Africa Business / Finance East Africa Middle East People

Tanzania to enter into an agreement with DP World for the development of Dar es Salaam port

Joy CheptooJune 6, 2023June 6, 2023

The port of Dar es Salaam is the main commercial gateway of Tanzania. Approximately 95 percent of Tanzania’s international trade is served by this port.

Watuhumiwa wa ubakaji wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa wadakwa
Africa East Africa

Watuhumiwa wa ubakaji wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa wadakwa

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa watano wa unyang’anyi kwa kutumia silaha ambao kati yao wawili wametambuliwa kuhusika katika tukio la ubakaji alilofanyiwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa (jina linahifadhiwa) wakati wakifanya uharifu chuoni hapo.

Amnesty International :Polisi walitumia nguvu zaidi kuwaondoa wamaasai Loliondo
Africa East Africa

Amnesty International :Polisi walitumia nguvu zaidi kuwaondoa wamaasai Loliondo

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Ripoti ya shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International imeituhumu mamlaka nchini Tanzania kwa kutumia nguvu kupita kiasi pamoja na kuwazuilia jamii ya wamaasai wakati wakiwatimua katika eneo la Loliondo. 

Dkt Mollel:Asilimia 70 ya mapato ya vituo vya afya inategemea NHIF
Africa East Africa

Dkt Mollel:Asilimia 70 ya mapato ya vituo vya afya inategemea NHIF

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Naibu Waziri wa Afya nchini Tanzania Dkt. Godwin Mollel amesema , asilimia 70 ya Mapato ya vituo vya huduma za Afya vya Serikali pamoja na binafsi vinategemea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) ili kuendesha vituo hivyo.

Biashara ya ngono yaongezeka kwa wakimbizi wa ndani DRC
Africa East Africa

Biashara ya ngono yaongezeka kwa wakimbizi wa ndani DRC

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Taarifa iliyotolewa jana na shirika hilo kutoka Geneva Uswisi imesema ukosefu wa amani huko mashariki mwa DRC umesababisha watu kuwa na hali mbaya ya kimaisha na ukiukaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na unyanyasaji wa kijinsia, unaowakabiliwa zaidi ya wakimbizi wa ndani milioni 6.2.

Tear gas, arrests at Kenya protest over tax hike plans
East Africa People Politics

Tear gas, arrests at Kenya protest over tax hike plans

Mwanzo EditorJune 6, 2023June 6, 2023

The proposed legislation calls for new or increased taxes on a wide range of items including fuel and food as well as beauty products, crypto currencies and social media influencers.

Ujumbe wa amani wa Afrika katika vita vya Ukraine kuanza katikati ya Juni
Africa International War & Conflicts

Ujumbe wa amani wa Afrika katika vita vya Ukraine kuanza katikati ya Juni

Joy CheptooJune 6, 2023July 2, 2024

Ujumbe huo uliozinduliwa na Ramaphosa mwezi uliopita unajumuisha marais wa Jamhuri ya Kongo, Misri, Senegal, Afrika Kusini, Uganda na Zambia.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo