• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 8, 2023

US halts food aid to Ethiopia over diverted supplies
Africa People

US halts food aid to Ethiopia over diverted supplies

Mwanzo EditorJune 8, 2023June 8, 2023

It comes on the heels of an announcement by USAID and the World Food Programme (WPF) last month to freeze food aid to Tigray after the agencies discovered that shipments were being diverted to local markets

Tanzania yasaini hati ya makubaliano na UN- HABITAT kuanzisha ofisi nchini
Africa East Africa

Tanzania yasaini hati ya makubaliano na UN- HABITAT kuanzisha ofisi nchini

Asia GambaJune 8, 2023June 8, 2023

Makubaliano mengine ni kusaidia matumizi jadidifu ya nishati katika majengo, kupitia na kuandaa sera mpya ya miji, kuanzisha kituo cha taarifa ya makazi pamoja na kuboresha mifumo ya kitaasisi na uendelezaji miji midogo.

Simbachawene atetea hoja kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa
Africa East Africa

Simbachawene atetea hoja kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa

Asia GambaJune 8, 2023June 8, 2023

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora George Simbachawene amesema kinga inayokusudiwa kuwekwa kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa itatumika tu endapo walikuwa wakitekeleza majukumu yao kama yalivyoainishwa kwenye sheria.

TLS  yatia mguu sakata la Bandari
Africa East Africa

TLS  yatia mguu sakata la Bandari

Asia GambaJune 8, 2023June 8, 2023

Baraza la Uongozi la Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) limeunda kamati maalum ya wataalamu kuchambua makubalino yaliyoainishwa katika mkataba wa uendeshaji bandari ya Dar es Salaam kati ya serikali ya Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World. 

Ondoa Mswada wa Fedha na uwaombe Wakenya msamaha – Raila amwambia Ruto
East Africa People Politics

Ondoa Mswada wa Fedha na uwaombe Wakenya msamaha – Raila amwambia Ruto

Joy CheptooJune 8, 2023June 8, 2023

Raila alisema Rais anafaa kuondoa Mswada wa Fedha wa 2023 kwa sababu Wakenya watateseka iwapo utapitishwa. Tayari Mswada huo upo Bungeni ukisubiri uamuzi wa Wabunge

Mtoto wa Trump avutiwa na vivutio vya utalii nchini Tanzania
Africa East Africa

Mtoto wa Trump avutiwa na vivutio vya utalii nchini Tanzania

Asia GambaJune 8, 2023June 8, 2023

Donald Trump Jr ambaye ni mtoto mkubwa wa kiume wa Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump, yupo nchini Tanzania kutembelea maeneo mbalimbali huku kueleza kuvutiwa na vivutio vya utalii vilivyopo nchini.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo