Putin Hails Russia’s Strong 2024 Economic Growth
Moscow’s massive ramp-up in outlays on soldiers and weapons has helped it defy predictions of a deep recession after it launched its military campaign in February 2022.
Moscow’s massive ramp-up in outlays on soldiers and weapons has helped it defy predictions of a deep recession after it launched its military campaign in February 2022.
The Bering Air Caravan with nine passengers and one pilot on board was reported overdue Thursday on a flight from Unalakleet to Nome at 4:00 pm Alaska Standard Time (0100 GMT), Alaska state police said.
Tukio lililoandikisha historia katika maisha yake ni jaribio la mapinduzi ya mwaka 1982 ambapo baadhi ya wanajeshi wakati huo walitaka kumuondoa madarakani aliyekuwa Rais wa wakati huo Danie Arap Moi.
Kenya said Thursday it had deployed more than 100 additional police officers to Haiti, after Washington backtracked on withdrawing support for a security mission to the troubled nation.
Kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda liliongeza mashambulizi yake siku ya Alhamisi kupitia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na linaonekana kuwa na nia ya kuchukua mji muhimu, huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, akitoa wito wa amani.
Afisa mkuu wa fedha wa Uganda, Lawrence Semakula, pamoja na wengine wanane, wamefunguliwa mashtaka ya udanganyifu na utakatishaji fedha kufuatia wizi wa karibu dola milioni 16 za Marekani zilizokuwa zimekusudiwa kulipia mikopo ya maendeleo, kulingana na nyaraka za mahakama.