Gachagua claims MP Koimburi was tortured and poisoned by his captors
Some chemical was administered through inhalation, and the doctors have told us that preliminary investigations confirm that the chemical has interfered with his vocal cords.
Some chemical was administered through inhalation, and the doctors have told us that preliminary investigations confirm that the chemical has interfered with his vocal cords.
We are ahead of them politically, intellectually, and in every other way. Speaking English is not a priority for us!
HRW said in the report that police had “harassed, extorted and arbitrarily arrested and detained people on the basis of their perceived or real sexual orientation or gender identity”.
Mbunge huyo ambaye pia ni kiongozi wa dini, ameibua msururu wa matukio ya utekaji wa raia, akisisitiza kuwa vitendo hivyo haviendani na utamaduni wa Tanzania. Ameeleza kuwa amekuwa akipokea taarifa za matukio ya utekaji, ambapo amesema kuna orodha ya takribani watu 83 waliowahi kutekwa katika miaka ya hivi karibuni.
Jeshi la Uganda (UPDF) limetangaza kusitisha mara moja ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani, likimtuhumu Balozi wa Ujerumani nchini humo, Matthias Schauer, kwa kuendesha “shughuli za kihaini” ndani ya taifa hilo la Afrika Mashariki.
Katika hotuba yake jana Jumapili, Katibu Mkuu wa chama cha Union for Democracy and Social Progress (UDPS), Augustin Kabuya, alimtuhumu Kabila kwa kuhusika na kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda na kudai kuwa Kabila “aliletwa kwa nguvu kututawala” na kwamba hana mamlaka tena ya kutoa mafunzo kuhusu demokrasia.