AI yaibuka mshenga mpya wa ndoa nchini Japan
Mamia ya watu nchini Japan wamefanikiwa kufunga ndoa baada ya kukutana kupitia programu ya kutafuta wapenzi inayotumia akili bandia (AI), iliyozinduliwa na Serikali ya Jiji la Tokyo mwaka 2024 ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na kiwango cha chini cha uzazi nchini humo.