• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Neema kwa wakulima wa chai wilaya ya Kilolo yatangazwa.
Africa East Africa

Neema kwa wakulima wa chai wilaya ya Kilolo yatangazwa.

Asia GambaJanuary 20, 2023January 20, 2023

Waziri wa Kilimo nchini humo Hussein Bashe alisema serikali imetenga shilingi  Milioni 300 zilizoanza kutumika kusafisha hekta 2,900 za mashamba ya kampuni ya Chai Kilolo zilizotelekezwa kwa miaka 34

Mtanzania afariki kwenye vurugu nchini Afrika Kusini
Africa East Africa

Mtanzania afariki kwenye vurugu nchini Afrika Kusini

Asia GambaJanuary 19, 2023January 19, 2023

Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema Mtanzania, Abilah Hussein Riziki amefariki dunia jijini Johannesburg katika vurugu.

Uber yarudisha huduma ya usafiri Tanzania
Africa East Africa

Uber yarudisha huduma ya usafiri Tanzania

Asia GambaJanuary 18, 2023January 19, 2023

Uber Limited ilisitisha huduma zake nchini Tanzania ikipinga kanuni mpya za usafiri wa teksi mtandaoni zilizotangazwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu nchini humo (LATRA)

NBS yatabiri kupungua kwa mfumuko wa bei Tanzania
Africa East Africa

NBS yatabiri kupungua kwa mfumuko wa bei Tanzania

Asia GambaJanuary 18, 2023January 18, 2023

Kwa mujibu wa Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, bei hizo zitapungua kutokana na juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika  kudhibiti mfumuko wake, ikiwemo kuimarisha sekta ya kilimo kwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Kilimo, kutoa ruzuku kwenye mafuta na mbolea.

Tanzania kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti
Africa East Africa

Tanzania kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti

Asia GambaJanuary 18, 2023January 18, 2023

Hivi karibuni vyombo vya habari nchini Tanzania viliripoti taarifa juu ya shule kutoa mafundisho ya ulawiti kwa wanafunzi katika shule hizo

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya siku tano mfululizo
Africa East Africa

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya siku tano mfululizo

Asia GambaJanuary 17, 2023January 17, 2023

Rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kupinga hukumu iliyomwachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake, imepangwa kuendelea kusikilizwa kwa siku tano mfululizo kuanzia Februari 27, 2023.

Ongezeko la nauli za mabasi ya mwendokasi Dar kuanza kutumika leo
Africa East Africa

Ongezeko la nauli za mabasi ya mwendokasi Dar kuanza kutumika leo

Asia GambaJanuary 16, 2023January 16, 2023

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Meneja Uhusiano wa Dart, William Gatambi, viwango vya bei zilizotolewa kwa watu wazima vinaonesha kwa njia kuu kutoka Kimara kwenda kivukoni, Morocco na Gerezani ni Sh 750 na wanafunzi 200 na kutoka Ubungo kwenda Kivukoni na Gerezani 750 na kutoka Morocco kwenda Kivukoni na Gerezani 750 na kwa wanafunzi ni Sh 200.

Lissu kukanyaga tena ardhi ya Tanzania Januari 25,2023.
Africa East Africa

Lissu kukanyaga tena ardhi ya Tanzania Januari 25,2023.

Asia GambaJanuary 13, 2023January 13, 2023

Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amesema anatarajia kurejea nchini Tanzania Januari 25, 2023 akitokea Ubelgiji alikorejea Novemba 10, 2020, baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu.

Rais Samia:Zama za ugomvi katika siasa ziishe twendeni na hoja za maana.
Africa East Africa

Rais Samia:Zama za ugomvi katika siasa ziishe twendeni na hoja za maana.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Rais Samia ameyasema hayo leo Jumatatu Januari 10, 2022 huko Unguja, visiwani Zanzibar wakati wa kilele cha matembezi ya vijana kuadhimisha miaka 59 ya mapinduzi matukufu ya Zanzibar zilizoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM),ambapo yeye akiwa mgeni rasmi.

Jaji Mkuu wa Tanzania ahimiza usuluhishi katika kutatua migogoro.
Africa East Africa

Jaji Mkuu wa Tanzania ahimiza usuluhishi katika kutatua migogoro.

Asia GambaJanuary 10, 2023January 10, 2023

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma amewahimiza wananchi kutumia njia ya usuluhishi katika kutatua migogoro ya kisheria kwa lengo la kukuza uchumi endelevu badala ya kukimbilia mahakamani.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy