Neema kwa wakulima wa chai wilaya ya Kilolo yatangazwa.
Waziri wa Kilimo nchini humo Hussein Bashe alisema serikali imetenga shilingi Milioni 300 zilizoanza kutumika kusafisha hekta 2,900 za mashamba ya kampuni ya Chai Kilolo zilizotelekezwa kwa miaka 34