• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri
Africa East Africa

ATCL yaomba radhi wateja wake kutokana na usumbufu unaojitokeza kwa wasafiri

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Taarifa iliyotolewa na shirika hilo kupitia ukurasa wao wa mtandao wa Twitter shirika hilo limesema juhudi zinaendelea kufanyika ili kurudisha huduma kama ilivyokuwa hapo awali huku likijulisha kuwa ndege moja ya Airbus ipo katika hatua za mwisho za marekebisho na inategemewa kurudi katika miruko ya kawaida kuanzia wiki ijayo.

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa
Africa East Africa

Kilo 15.19 za heroin zakamatwa zikitaka kusafirishwa

Asia GambaDecember 7, 2022December 7, 2022

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Tanzania imekamata kilo 16.643 za dawa za kulevya zikiwamo kilo 15.19 za heroin

Maambukizi ya virusi vya corona yaongezeka nchini Tanzania.
Africa East Africa

Maambukizi ya virusi vya corona yaongezeka nchini Tanzania.

Asia GambaDecember 6, 2022December 6, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Serikali nchini humo Profesa Tumaini Nagu, visa vipya vya maambukizi ya Uviko-19 vilivyobainika ni 442.

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba
Africa East Africa

Mahakama: Uamuazi wa kumuondoa CAG Assad ulikiuka Katiba

Asia GambaDecember 6, 2022December 6, 2022

Mahakama Kuu nchini Tanzania kanda ya Dar es salaam imesema  uamuzi wa kumwondoa katika utumishi wa umma aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini humo, Profesa Mussa Assad ulikiuka Katiba.

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine
Africa East Africa

Sherehe za uhuru nchini Tanzania kufanyika kivingine

Asia GambaDecember 5, 2022December 5, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari leo Disemba 5,2022 ,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amesema kuwa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara mwaka huu 2022 zitafanyika kwa njia ya midahalo na makongamano mbalimbali yatakayofanyika katika wilaya zote hapa nchini.

NACTE yafungia matokeo ya watahiniwa 540, na kufungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani
Africa East Africa

NACTE yafungia matokeo ya watahiniwa 540, na kufungia shule 24 kuwa vituo vya mitihani

Asia GambaDecember 1, 2022December 1, 2022

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limezuia matokeo ya watahiniwa 540 kutoka vituo sita vya mitihani ndani ya jiji la Dar es Salaam baada ya kugundulika kufanya udanganyifu.

Rais wa zamani wa China afariki dunia
Africa

Rais wa zamani wa China afariki dunia

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Rais wa zamani wa China Jiang Zemin, ambaye aliongoza nchi hiyo kupitia enzi ya mabadiliko kutoka mwishoni mwa miaka ya 1980 na kuingia katika milenia mpya, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96, shirika la habari la serikali Xinhua lilisema.

Wanajeshi Indonesia wafungwa jela miezi saba kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Africa

Wanajeshi Indonesia wafungwa jela miezi saba kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Wanajeshi hao, waliojiunga na jeshi mwaka jana na walikuwa na makao yake katika kisiwa kikuu cha Java nchini humo, pia waliondolewa jeshini, kulingana na uamuzi wa mahakama ya kijeshi wa tarehe 9 Novemba.

Hakimu adaiwa kujiua kwa kunywa sumu akiwa gesti
Africa East Africa

Hakimu adaiwa kujiua kwa kunywa sumu akiwa gesti

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Akizungumzia tukio hilo jana Novemba 29, 2022 Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa, Theopista Mallya amesema tukio hilo limetokea Novemba 27 mwaka huu akiwa amelala katika nyumba ya wageni.

Amzika mwanawe wa miezi miwili akiwa hai kisa utajiri
Africa East Africa

Amzika mwanawe wa miezi miwili akiwa hai kisa utajiri

Asia GambaNovember 30, 2022November 30, 2022

Mkazi wa Kijiji cha Mahaha wilayani Magu mkoani Mwanza, Zawadi Msagaja (20) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hamo kwa tuhuma za kumzika mtoto wake akiwa hai ili apate mali.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy