• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Binti wa miaka 15 apigwa na mumewe kisa kumwaga dawa ya mbuzi
Africa East Africa

Binti wa miaka 15 apigwa na mumewe kisa kumwaga dawa ya mbuzi

Asia GambaSeptember 22, 2022September 22, 2022

Mesoni inadaiwa alipigwa baada ya kufungwa kwenye mti, kisha kuchapwa fimbo na mume wake, Namendea Lesiria kwa kushirikiana na rafiki yake, ambaye jina halijafahamika kwa kosa la kumwaga dawa ya mbuzi.

Wabunge tisa kuiwakilisha Tanzania bunge la Afrika Mashariki.
Africa East Africa

Wabunge tisa kuiwakilisha Tanzania bunge la Afrika Mashariki.

Asia GambaSeptember 22, 2022September 22, 2022

Wabunge hao wamechaguliwa leo Alhamisi, Septemba 22, 2022 bungeni jijini Dodoma.

Dk.Mollel:Hakuna Ebola Tanzania
Africa East Africa

Dk.Mollel:Hakuna Ebola Tanzania

Asia GambaSeptember 21, 2022September 21, 2022

Serikali ya Tanzania imesema hakuna mgonjwa wa Ebola aliyeripotiwa nchini humo huku  ikiwashauri wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.

Ofisa wa Polisi atiwa mbaroni kwa kuwaachia watuhumiwa wa kesi ya uhujumu uchumi    
Africa East Africa

Ofisa wa Polisi atiwa mbaroni kwa kuwaachia watuhumiwa wa kesi ya uhujumu uchumi    

Asia GambaSeptember 20, 2022September 20, 2022

Jeshi la Polisi mkoani Tanga limemkamata ofisa wake anayedaiwa kuwaachia huru watuhumiwa wa uhujumu uchumi waliokamatwa na mali za magendo zenye thamani ya zaidi ya shilingi  bilioni 1.2.

Mshtakiwa azimia mahakamani kesi ya Zumaridi
Africa East Africa

Mshtakiwa azimia mahakamani kesi ya Zumaridi

Asia GambaSeptember 19, 2022

Tukio la mshtakiwa huyo namba 38, Mariam Julius kudondoka mahakamani lilitokea leo Septemba 19, 2022 asubuhi baada ya mshtakiwa huyo kuanza kupiga kelele kisha kudondoka na kuanza kutoa mapovu mdomoni.

Watu sita wapoteza maisha kwenye ajali mkoani Manyara
Africa East Africa

Watu sita wapoteza maisha kwenye ajali mkoani Manyara

Asia GambaSeptember 19, 2022September 19, 2022

Kamanda wa Polisi wa Mkoani humo, George Katabazi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema gari hilo lilikuwa linatoka Matui kwenda Kondoa mkoani Dodoma.

Adaiwa kujinyonga baada ya kutuhumiwa kuiba shilingi 10,000 ya mumewe
Africa East Africa

Adaiwa kujinyonga baada ya kutuhumiwa kuiba shilingi 10,000 ya mumewe

Asia GambaSeptember 15, 2022September 15, 2022

Kamanda Mwaibambe amesema marehemu alikutwa amejinyonga kwa kutumia kipande cha kanga, ambapo marehemu mwili wake ulikutwa unaning’inia kwenye mti karibu na nyumbani kwao.

Watu 38 wathibitika kuugua ugonjwa Surua nchini Tanzania
Africa East Africa

Watu 38 wathibitika kuugua ugonjwa Surua nchini Tanzania

Asia GambaSeptember 15, 2022September 15, 2022

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo Alhamisi Septemba 15,2022  Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amezitaja halmashauri hizo kuwa ni Bukoba yenye sampuli tatu, Wilaya ya Handeni sampuli nne, Kilindi tatu, Mkuranga nne, Kigamboni nane, Manispaa ya Temeke 12 na Manispaa ya Ilala nne.

Naibu gavana nchini Kenya afariki dunia ndani ya ndege
Africa East Africa

Naibu gavana nchini Kenya afariki dunia ndani ya ndege

Asia GambaSeptember 15, 2022September 15, 2022

Kipng’ok amefariki dunia Jana Jumatano Septemba 14, 2022 jioni ndani ya ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways, ambapo alitarajiwa kuungana na wakuu wengine wa kaunti kwa ajili ya kujitambulisha kwa Baraza la Gavana.

Mwanafunzi wa chuo auawa Dar kwa kushambuliwa na wanaosadikiwa kuwa ni “Panya Road”
Africa East Africa

Mwanafunzi wa chuo auawa Dar kwa kushambuliwa na wanaosadikiwa kuwa ni “Panya Road”

Asia GambaSeptember 15, 2022September 15, 2022

Taarifa iliyotolewa jana Jumatano Septemba 14,2022 na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Wiliam Mkonda imedhibitisha  kutokea kwa tukio hilo ambapo Septemba 14 saa 2:30 usiku maeneo ya Kawe mzimuni, kikundi cha wahalifu wakiwa na silaha za jadi, walivamia nyumbani kwa kina Paschal Basso (56).

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy