Ahukumiwa kunyongwa kwa kumuua mamamkwe
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Geita mwenye mamlaka ya ziada, Cleofas Waane, baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha kosa hilo pasipo kuacha shaka yoyote.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Geita mwenye mamlaka ya ziada, Cleofas Waane, baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha kosa hilo pasipo kuacha shaka yoyote.
Serikali ya Tanzania imesema sababu za wananchi nchini humo kujichukulia hatua mkononi ni wivu wa mapenzi, migogoro ya ardhi, ulevi na imani za kishirikini.
Masauni ameyasema hayo leo bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa Viti maalum(CCM) Bahati Keneth Ndingo, aliyetaka kujua ni lini serikali itaanza kuruhusu wafungwa kupata haki ya faragha na wenza wao
Mkurugenzi Mkuu wa Latra, Habibu Suluo ametoa taarifa hiyo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha.
Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, mbele ya Hakimu Salome Mshasha akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba mbili ya mwaka 2022.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nchini humo, Nape Nnauye amesema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imebaini kuwa baadhi ya watazamaji wa maudhui ya kulipia mtandaoni wamekuwa wakitazama na kusambaza maudhui hayo zikiwemo video kwenye mitandao ya kijamii.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo Kiswaga amesema wamepokea shilingi bilioni mbili kutoka serikalini zilizotokana na tozo za miamala ya simu kwa ajili ya sekta za afya na elimu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Dar es Salaam, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Habi Gunze, alisema Agosti 12, mwaka huu, TCRA ilitoa leseni kwa Zama Mpya Tv na Agosti 28 mwaka huu walichapisha taarifa za uchochezi kuhusu tozo za serikali kwenye ukurasa wa twitter kinyume na kanuni ya 9 (a), 12 (a) (I) na 16 (1) aya 3 (a), (d), (g), (h) na (k) ya kanuni za kielektroniki na Posta ya mwaka 2020.
Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu ametoa taarifa hiyo leo wakati akitoa mrejesho wa tathmini iliyofanyika siku chache tangu Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza wizara itoe mwongozo kuhusu uvaaji wa barakoa.
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa iliyokutana jana Septemba 7,2022, imetoa maelekezo sita kwa serikali, kuhusu malalamiko ya utitiri wa kodi hususani za miamala ya simu na ya kibenki,ikiwemo kutazama hali halisi ya maisha na kuchukua hatua stahiki kuhusu utozaji wake wa Kodi