• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Waandamanaji wafyatuliwa mabomu ya machozi nchini Sudan
Africa East Africa

Waandamanaji wafyatuliwa mabomu ya machozi nchini Sudan

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Vikosi vya usalama vilifyatua mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji hao.

Kaya 25 kuwasili Msomera leo
Africa East Africa

Kaya 25 kuwasili Msomera leo

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Jumla ya kaya 25 za wananchi wa Ngorongoro mkoani Arusha, wanatarajiwa kupokelewa leo wilayani Handeni mkoani Tanga katika kijiji cha Msomera ikiwa ni muendelezo wa wale ambao wamekubali kuhama kwa hiari.

Ahukumiwa maisha jela kwa kumlawiti mjuukuu wake wa miezi sita
Africa East Africa

Ahukumiwa maisha jela kwa kumlawiti mjuukuu wake wa miezi sita

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Hukumu hiyo imetolewa na hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati Victor Kimario baada ya kusikiliza pande zote mbili na kujiridhisha pasipo na kutia shaka.

Chanzo cha ajali iliyoua watu watano mkoani Singida ni Mwendokasi
Africa East Africa

Chanzo cha ajali iliyoua watu watano mkoani Singida ni Mwendokasi

Asia GambaAugust 18, 2022August 18, 2022

Ajali hiyo imetokea jana Jumatano Agosti 17, 2022 ambapo basi hilo lilikuwa linatoka Mwanza kwenda jijini Dar es Salaam.

Dk Mpango alitaka jeshi la Polisi Tanzania kutowaonea raia
Africa East Africa

Dk Mpango alitaka jeshi la Polisi Tanzania kutowaonea raia

Asia GambaAugust 18, 2022August 18, 2022

Ameyasema hayo leo Agosti 18 alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania Inspekta Jenerali Camillus Wambura katika ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam.

Rais Samia aendelea kupigia chapuo lugha ya Kiswahili
Africa East Africa

Rais Samia aendelea kupigia chapuo lugha ya Kiswahili

Asia GambaAugust 18, 2022August 18, 2022

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, mkuu huyo wa nchi yupo Jamhuri ya Demokrasia ya Congo kushiriki mkutano wa 42 wa nchi za Jumuiya hiyo.

Masauni ataka uchunguzi kuhusu maiti zilizookotwa kwenye viroba
Africa East Africa

Masauni ataka uchunguzi kuhusu maiti zilizookotwa kwenye viroba

Asia GambaAugust 18, 2022August 18, 2022

Maiti hizo ziliokotwa Agosti 11, 2022 zikiwa kwenye viroba katika kata ya Tunguli wilayani Kilindi mkoani Tanga na kupelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali Teule ya Wilayani Kilindi.

Tanesco yasitisha kuzima mifumo ya Luku
Africa East Africa

Tanesco yasitisha kuzima mifumo ya Luku

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Taarifa iliyotolewa asubuhi ya leo Jumatano na Meneja Mwandamizi wa Tehama wa shirika hilo, Cliff Maregeli alisema matengenezo hayo ya siku nne yalikuwa yaanze Agosti 22 – 25, 2022 kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.

Dereva wa dalala adaiwa kumuua mpenzi wake Dar
Africa East Africa

Dereva wa dalala adaiwa kumuua mpenzi wake Dar

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatano Agosti 16, 2022 na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Jumanne Muliro imeeleza kuwa tukio hilo limetokea Agosti 16, maeneo ya Kimara Suka.

Kesi ya mauaji ya askari polisi yakwama kuendelea ikisubiri upelelezi
Africa East Africa

Kesi ya mauaji ya askari polisi yakwama kuendelea ikisubiri upelelezi

Asia GambaAugust 17, 2022August 17, 2022

Katika kesi hiyo ya mauaji namba 11/2022, washtakiwa 10 kati ya 24 ni madiwani, yumo pia Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ngorongoro, Ndirango Laizer na wakazi wengine.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy