• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Kutoka Panya Road wa Dar hadi Panya Karoa wa Dodoma
Africa East Africa

Kutoka Panya Road wa Dar hadi Panya Karoa wa Dodoma

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzaniaimeahidi kuangamiza vikundi vya uhalifu vilivyoibuka katika Kata ya Makulu, jijini Dodoma vinavyojiita Panya Karoa.

Kesi ya akina Mdee na wenzake kuunguruma leo
Africa East Africa

Kesi ya akina Mdee na wenzake kuunguruma leo

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Mdee na wenzake wamekwenda mahakamani kupinga uamuzi wa chama hicho kwa kuwavua uanachama na wamefungua maombi Mahakama Kuu, dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema, wakiomba kibali cha kufungua shauri la mapitio ya kuhusu uamuzi huo.

Waliosambaza taarifa kuhusu bei ya umeme nchini Tanzania kupanda, kukamatwa
Africa East Africa

Waliosambaza taarifa kuhusu bei ya umeme nchini Tanzania kupanda, kukamatwa

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

“Nimeagiza hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kila aliyehusika na kueneza uongo kuwa TANESCO imepandisha bei ya umeme wakati wakijua fika sio kweli. Uenezaji wa taarifa za uongo kiasi hiki ni uchochezi wenye lengo la kujenga chuki dhidi ya TANESCO na Serikali”

Sabaya na wenzake wavuka kiunzi kwenye kesi ya pili iliokuwa ikiwakabili
Africa East Africa

Sabaya na wenzake wavuka kiunzi kwenye kesi ya pili iliokuwa ikiwakabili

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, Patricia Kisinda, leo Ijumaa Juni 10, 2022 amewaachia huru washitakiwa hao baada ya kubaini kuwa ushahidi wa mashahidi 13 upande Jamhuri ulikuwa ukikinzana na pia hati ya mashitaka iliyosomwa mahakamani ilikuwa na kasoro nyingi.

Hukumu katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Sabaya na wenzake kutolewa leo
Africa East Africa

Hukumu katika kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Sabaya na wenzake kutolewa leo

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Awali, Mei 31 mwaka huu Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Patricia Kisinda aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo, alipanga kutoa hukumu lakini ilishindikana kutokana na kudaiwa kuwa nje ya kituo cha kazi kwa majukumu mengine.

CDF Mabeyo ataka hekma itumike kutatua migogoro ya ardhi baina ya wananchi na kambi za majeshi.
Africa East Africa

CDF Mabeyo ataka hekma itumike kutatua migogoro ya ardhi baina ya wananchi na kambi za majeshi.

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Jenerali Mabeyo alisema hayo juzi mkoani Morogoro wakati wa ziara yake ya kuaga vikosi vya ulinzi na usalama, pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Morogoro.

Nchi 5 zachaguliwa kuhudumu katika Baraza la Usalama la UN
Africa East Africa

Nchi 5 zachaguliwa kuhudumu katika Baraza la Usalama la UN

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Nchi 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa wameshiriki katika uchaguzi huo uliofanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani ndani ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo nchi ya Msumbiji ilipigiwa kura 192, Ecuador – 190, Uswizi – 187, Malta- 185 na Japani – 184

Polisi kuchunguza kifo cha mwanafunzi aliyejinyonga kwa kutumia Tai
Africa East Africa

Polisi kuchunguza kifo cha mwanafunzi aliyejinyonga kwa kutumia Tai

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe alisema tukio hilo ni la Juni 4, mwaka huu na kijana huyo alikutwa amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali na tai ya shule.

Mke amuua mume akimtuhumu kutokuwa na msaada wowote kwenye familia
Africa

Mke amuua mume akimtuhumu kutokuwa na msaada wowote kwenye familia

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Chanzo cha mauaji hayo ni mgogoro wa muda mrefu kati ya wanandoa hao hususani jioni mwanamke anapolewa na kuanza kumtuhumu mumewe kuwa hana msaada wowote katika maisha yao.

Alawiti mtoto wa miaka mitano kutokana na imani za kishirikina
Africa East Africa

Alawiti mtoto wa miaka mitano kutokana na imani za kishirikina

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, ACP Ali Makame Hamad, amesema tukio hilo lilitokea Juni 3, 2022, ambapo mtuhumiwa  anadaiwa kumvizia binti huyo njiani na kumkamata, kisha kutekeleza kitendo chake kwenye vichaka vilivyopo jirani na njia.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy