• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Mawaziri wa Jinsia kutoka SADC wanatarajia kukutana kesho nchini Malawi
Africa East Africa

Mawaziri wa Jinsia kutoka SADC wanatarajia kukutana kesho nchini Malawi

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Kwa mujibu wa taarifa ya Sekretarieti ya Sadc kwa vyombo vya habari jana, mkutano huo utakaokuwa chini ya uenyekiti wa Waziri wa Jinsia, Maendeleo na Ustawi wa Jamii wa Malawi, Patricia Kaliati, utafuatilia utekelezaji wa Itifaki ya jumuiya hiyo kuhusu jinsia na maendeleo kwa kuzingatia nafasi ya wanawake katika siasa na utoaji uamuzi.

Shauri la Tozo za Miamala lililofunguliwa na LHRC laondolewa mahakamani
Africa East Africa

Shauri la Tozo za Miamala lililofunguliwa na LHRC laondolewa mahakamani

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Uamuzi huo ulifikiwa mahakamani hapo chini ya jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji John Mgeta kwa kusaidiana na Jaji Edwin Kakolaki na Jaji Zahra Maruma.

WHO yasema watoto 38 wanauhitaji wa kupandikizwa Ini
Africa East Africa

WHO yasema watoto 38 wanauhitaji wa kupandikizwa Ini

Asia GambaJune 9, 2022June 9, 2022

Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Dkt. Tedros Ghebreyesus amesema hayo jana akizungumza na waandishi wa habari jijini Geneva, Uswisi, mkutano ambao huwa mahsusi kwa ajili ya kutoa ripoti kuhusu mwelekeo wa ugonjwa wa Corona taarifa nyingine. 

Tanzania kuendelea kutoa ruzuku kwenye mafuta hadi bidhaa hiyo itakaposhuka bei
Africa East Africa

Tanzania kuendelea kutoa ruzuku kwenye mafuta hadi bidhaa hiyo itakaposhuka bei

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Serikali ilianza kutoka zuruku ya shilingi bilioni 100 mwezi huu na kuleta ahueni kwenye bei za nishati ya mafuta ambapo Petroli ilipungua kwa shilingi 152 hadi 306 na dizeli shilingi 320 hadi 488 kutegemeana na eneo.

Wagonjwa 161, wathibitishwa kuwa na UVIKO-19 nchini Tanzania.
Africa East Africa

Wagonjwa 161, wathibitishwa kuwa na UVIKO-19 nchini Tanzania.

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mganga Mkuu wa Serikali nchini humo, Dk Aifello Sichwale imeeleza kuwa ongezeko hilo ni sawa na asilimia 137, hali inayoashiria kuwa maambukizi yameanza kuongezeka kwa jamii.

Mwalimu wa “Field”adaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa sita
Africa East Africa

Mwalimu wa “Field”adaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa sita

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Mwalimu huyo alikwenda shuleni hapo kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo akitokea Chuo cha Ualimu Tandala kilichopo wilayani Makete mkoani Njombe.

Raia anayedaiwa kuwa ni wa Burundi auawa baada ya kujaribu kupora.
Africa East Africa

Raia anayedaiwa kuwa ni wa Burundi auawa baada ya kujaribu kupora.

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Awali kabla ya kutekeleza azma yake hiyo, akiwa amejificha kwenye kichaka alikutana na mwananchi wa kijiji hicho, Yapemacho Kasiano ambaye alimhoji mtu huyo sababu ya kujificha kichakani na alijibu kuwa alikuwa anatafuta njia ya kwenda Burundi.

Timu ya Taifa ya Tanzania kuikabili Algeria
Sports

Timu ya Taifa ya Tanzania kuikabili Algeria

Asia GambaJune 8, 2022June 8, 2022

Kocha wa Stars Kim Paulsen alisema wataingia uwanjani kwa kuwaheshimu wapinzani kutokana na ubora walionao.

Masauni:Nchi iko salama haina tishio la kiuslama, Lema na Lissu hawana sababu ya kutorejea Tanzania
Africa East Africa

Masauni:Nchi iko salama haina tishio la kiuslama, Lema na Lissu hawana sababu ya kutorejea Tanzania

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ametengeneza mazingira mazuri ya kisiasa na kuifanya nchi kuwa usalama, hivyo hakuna sababu za viongozi wa kisiasa ikiwemo wa chama cha Chadema, walioko uhamishoni kutorejea Tanzania.

Amuua mkewe kisha akimbia kusikojulikana
Africa East Africa

Amuua mkewe kisha akimbia kusikojulikana

Asia GambaJune 7, 2022June 7, 2022

Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Jumanne Muriro amesema tukio hilo lilitokea Juni 6, 2022 ambapo marehemu alikuwa anauza pombe ya kienyeji ndipo walianza ugomvi ukaanza kati ya wawili hao.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy