Baada ya kusimamisha maandamano, ni hatua gani inayofuata kwa upinzani?
Odinga alisema watarejelea maandamano ‘katika wiki moja’ ikiwa mazungumzo hayatazaa matunda
Odinga alisema watarejelea maandamano ‘katika wiki moja’ ikiwa mazungumzo hayatazaa matunda
Rais wa Kenya William Ruto alimtaka mpinzani wake wa kisiasa siku ya Jumapili kusitisha maandamano dhidi ya serikali yake huku…
Odinga ameitisha maandamano kila Jumatatu na Alhamisi akimshutumu Rais William Ruto kwa kuiba uchaguzi wa mwaka jana na kushindwa kudhibiti kupanda kwa gharama ya maisha
Kiongozi wa Chama cha Kitaifa cha Uskoti (SNP) ndiye Waziri wa Kwanza mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kutokea na wa kwanza kutoka katika makabila madogo
Rais William Ruto amesema hali ya kutoadhibiwa haitavumiliwa na Wakenya wote lazima watii sheria
Faki anaonyesha wasiwasi mkubwa juu ya ghasia, ambazo zimesababisha watu kupoteza maisha, uharibifu wa mali na kukatizwa kwa shughuli fulani za kiuchumi
Ni mwaka wa 10 mfululizo wa hasara kwa shirika hilo la ndege, ambalo lilichapisha faida mara ya mwisho mnamo 2012
Nia ya uvamizi huo haijulikani wazi
Zaidi ya watu 200 walikamatwa Jumatatu iliyopita, wakiwemo wanasiasa kadhaa wakuu wa upinzani, huku msafara wa Odinga mwenyewe ukipigwa na mabomu ya machozi na maji ya kuwasha
Azimio imetangaza kuwa itafanya maandamano yake mara mbili kwa wiki siku za Jumatatu na Alhamisi hadi serikali itakapopunguza gharama ya maisha