• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Joy Cheptoo

Rais Museveni amewateua majaji watatu wapya katika Mahakama ya Juu
East Africa People

Rais Museveni amewateua majaji watatu wapya katika Mahakama ya Juu

Joy CheptooNovember 16, 2022November 16, 2022

Rais Museveni amewateua Majaji Christopher Madrama Izama, Stephen Musota na Elizabeth Musoke katika Mahakama ya Juu

Ruto akanusha kusaini mkataba wa mafuta na gesi na Tanzania
Africa Business / Finance East Africa Environment People

Ruto akanusha kusaini mkataba wa mafuta na gesi na Tanzania

Joy CheptooNovember 16, 2022November 16, 2022

Alisema Kenya ina mpango wa kuzalisha MW 10,000 kutoka kwa rasilimali ya jotoardhi, na MW 20,000 kutoka kwa jua na upepo

Ebola Uganda: Museveni asimamisha usafirishaji wa lori za magogo huko Mubende, Kassanda
East Africa Lifestyle & Health People

Ebola Uganda: Museveni asimamisha usafirishaji wa lori za magogo huko Mubende, Kassanda

Joy CheptooNovember 16, 2022November 16, 2022

Hii ilifuatia visa ambapo madereva wa lori walibeba watu kutoka wilaya hizo mbili kutoroka kutoka maeneo yaliyozuiliwa

Kyiv inahimiza mataifa ya Afrika kuwaokoa raia kutoka kwa vita vya Ukraine
Africa Europe War & Conflicts

Kyiv inahimiza mataifa ya Afrika kuwaokoa raia kutoka kwa vita vya Ukraine

Joy CheptooNovember 15, 2022July 2, 2024

Kyiv imewataka viongozi barani Afrika kuwazuia raia wao wasijihusishe na uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, siku moja baada ya Zambia kusema kuwa mmoja wao aliuawa

Mwanzilishi wa Microsoft Bill Gates yuko nchini Kenya
Africa Business / Finance East Africa People

Mwanzilishi wa Microsoft Bill Gates yuko nchini Kenya

Joy CheptooNovember 15, 2022November 15, 2022

Mfanyabiashara wa Marekani na mwanzilishi wa Kampuni ya Microsoft Bill Gates yuko nchini Kenya, ambako atafanya mfululizo wa mazungumzo ya umma

UGANDA: Mafuvu ya kichwa yaibiwa kwenye makaburi ya Kibuku
Africa East Africa

UGANDA: Mafuvu ya kichwa yaibiwa kwenye makaburi ya Kibuku

Joy CheptooNovember 14, 2022November 14, 2022

Ufukuaji wa maiti ni nadra nchini Uganda na mara nyingi umekuwa ukihusishwa na shughuli za kitamaduni katika baadhi ya maeneo ya mbali nchini humo

Ebola inaua watu 54 ndani ya miezi miwili – WHO
Africa East Africa Lifestyle & Health

Ebola inaua watu 54 ndani ya miezi miwili – WHO

Joy CheptooNovember 14, 2022November 14, 2022

Wilaya ya Mubende, iliyosajili kesi ya kwanza, imepoteza watu 29 kati ya vifo 54 vilivyosajiliwa

Mwanasiasa aliyekufa achaguliwa tena Pennsylvania
Europe People Politics

Mwanasiasa aliyekufa achaguliwa tena Pennsylvania

Joy CheptooNovember 11, 2022November 11, 2022

Mbunge wa jimbo la Pennsylvania, Tony DeLuca, ambaye alifariki kutokana na saratani mwezi uliopita alichaguliwa tena kwa kura nyingi

Southampton yamteua Nathan Jones kuwa meneja mpya
Europe Football Sports

Southampton yamteua Nathan Jones kuwa meneja mpya

Joy CheptooNovember 10, 2022November 10, 2022

Kocha wa zamani wa Luton anachukua nafasi ya Ralph Hasenhuttl

Afrika Kusini yaondoa masharti ya visa kwa wasafiri wa Kenya
Africa Business / Finance East Africa People

Afrika Kusini yaondoa masharti ya visa kwa wasafiri wa Kenya

Joy CheptooNovember 9, 2022November 9, 2022

Afrika Kusini imeondoa masharti ya visa kwa Wakenya wanaosafiri kwenda taifa hilo la kusini mwa Afrika kuanzia Januari 2023 kwa muda wa siku 90 kila mwaka

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo