Facebook owner Meta to lay off 11,000 staff
Facebook owner Meta will lay off more than 11,000 of its staff in “the most difficult changes we’ve made in Meta’s history”, boss Mark Zuckerberg said on Wednesday
Facebook owner Meta will lay off more than 11,000 of its staff in “the most difficult changes we’ve made in Meta’s history”, boss Mark Zuckerberg said on Wednesday
Mahakama iliwaamuru kusitisha mgomo wao wa siku kadhaa uliosababisha mamia ya safari za ndege kufutwa na maelfu ya abiria kukwama
Jaji Anna Mwaure siku ya Jumanne aliamuru “marubani wa Kenya Airways kurejelea majukumu yao kama marubani ifikapo saa 12 asubuhi tarehe 9 Novemba 2022 bila masharti”
The meeting was held in in Shamar El Sheikh, Egypt,on the sidelines of the meeting of United Nations Framework on Climate Change (COP-27)
Ike Ekweremadu, 60, anatuhumiwa na mkewe, Beatrice, 56, binti yao, Sonia, 25, na daktari kwa kumleta mwanamume ,21, kutoka Nigeria ili figo yake iondolewe
A plane carrying 43 people plunged into Lake Victoria in Tanzania early on Sunday shortly before it was due to land in the city of Bukoba
Moja ya vituo vikuu vya habari nchini humo imesimamishwa kwa miezi 2 kufuatia ukosoaji wa utawala wa kijeshi uliofanywa na mmoja wa waandishi wake wakuu
Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, ambaye ametawala nchi yake kwa miaka 43, amezindua azma yake ya kuwania muhula wa sita
Rais Samia Suluhu Hassan amewasili mjini Beijing, China kwa ziara ya kiserikali inayolenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
“Siwezi na sitahusishwa na nchi ambayo ilianzisha vita na jirani yao wa amani na kuua watu wasio na hatia kila siku,” Tinkov alisema