• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Kenya yaandikisha idadi ndogo ya vijana katika kura za mwezi Agosti
East Africa Features Politics

Kenya yaandikisha idadi ndogo ya vijana katika kura za mwezi Agosti

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Idadi ya wapiga kura vijana waliojiandikisha katika uchaguzi wa Agosti nchini Kenya imepungua tangu uchaguzi uliopita miaka mitano iliyopita, tume ya uchaguzi IEBC

DR Congo: Ubelgiji imerudisha jino la Patrice Lumumba kwa familia yake
Africa Features Politics

DR Congo: Ubelgiji imerudisha jino la Patrice Lumumba kwa familia yake

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Mkosoaji mkali wa utawala wa kikatili wa Ubelgiji, Lumumba alikua waziri mkuu wa kwanza wa nchi yake baada ya DR Congo kupata uhuru wake mwaka 1960.

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali
Africa Features Politics

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Afisa mmoja wa eneo hilo alilaumu mashambulizi hayo kwa wanajihadi na kusema idadi ya waliouawa walikuwa 24, akisema mauaji hayo yalitokea Ebak, takriban kilomita 35 kaskazini mwa Gao, mji mkuu wa mkoa huo.

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia
Business / Finance East Africa Features Politics

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Somalia imekuwa soko muhimu la uuzaji wa nje wa miraa nchini Kenya tangu Uholanzi na Uingereza zilipoweka marufuku mwaka wa 2012 na 2014 mtawalia

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki kukutana Jumatatu kujadili mzozo wa DR Congo

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi
Africa Features People Politics

Senegal: Polisi wazingira nyumba ya kiongozi wa upinzani nchi inapojiandaa kwa uchaguzi

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Polisi wa Senegal waliziba njia ya kuelekea nyumbani kwake kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko baada yake kuitisha maandamano siku ya Ijumaa, wakati nchi hiyo ikiwa katika mvutano wa kabla ya uchaguzi.

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu DR Congo inasema waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji muhimu
East Africa Features Politics

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu DR Congo inasema waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji muhimu

Maureen MedzaJune 17, 2022

Wataalamu huru wanaoripoti kwa Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walisema Ijumaa kuwa waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji wa mashariki wa Goma, DR Congo

Morocco: Bei ya mafuta yapanda na kufikia viwango vya juu zaidi
Africa Features

Morocco: Bei ya mafuta yapanda na kufikia viwango vya juu zaidi

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Bei ya mafuta ya petroli ilipanda na kufikia kiwango cha juu zaidi nchini Morocco na kuzua hasira miongoni mwa vyama vya wafanyakazi

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023
Africa Features People Politics

Mgombea wa Upinzani Nigeria amteua mgombea mwenza katika uchaguzi wa 2023

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Abubakar, mgombea wa chama cha Peoples Democratic Party (PDP) anawania kiti cha urais kwa mara ya sita na atakuwa anakabiliana na mgombea wa chama tawala na gavana wa zamani wa Lagos Bola Tinubu

Ivory Coast: Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu sita
Africa Features Nature

Ivory Coast: Maporomoko ya ardhi yasababisha vifo vya watu sita

Maureen MedzaJune 17, 2022June 17, 2022

Watu sita walikufa baada ya mvua kubwa kusababisha mporomoko ya ardhi katika mji mkuu wa Ivory Coast Abidjan

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo